Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hakika!Sawasawa.
Na hata ukiuliza haitakusaidia Kwa sababu Mimi na wewe tunaishi kwenye Ulimwengu tofauti kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika!Sawasawa.
Na hata ukiuliza haitakusaidia Kwa sababu Mimi na wewe tunaishi kwenye Ulimwengu tofauti kabisa
Upewe maua yako umemaliza kila kitu ...naunga mkono hoja [emoji419][emoji375]Watakaokuelewa ni sisi wachache wenye akili za kifogo mkuu.
You see,Sugu,TAITA pamoja na utajiri wake ila kila mara anajisifia kuwa mke wake ana pesa.Na kuna siku Sugu alijigamba kuwa kamwe hawezi kurudi kwenye umasikini sbb hata ikitokea akayumba wife wake Happy ataokoa jahazi sbb mke pia anaingiza pesa zake.
Mwanaume unatakiwa uwe na wife leo ukimpeleka Dubai mwakani anaku suprise kwa kuipeleka familia Ibiza.
Unatakiwa uwe na wife hata ukifa au kuugua mwaka familia haiteseki sbb mama ana uwezo wa kulisongesha.
Mwanamke asiyemudu hata vocha au mlo wake ni LAANA.
Huyu hata ushauri wa maana hawezi kukupa.
Huyu ni wale ukikaa nae maongezi pekee anayomudu ni ya ngono ngono na kubebishana ,ukibadili topic ni pumba tu anaproduce.
Watakaokuelewa ni sisi wachache wenye akili za kifogo mkuu.
You see,Sugu,TAITA pamoja na utajiri wake ila kila mara anajisifia kuwa mke wake ana pesa.Na kuna siku Sugu alijigamba kuwa kamwe hawezi kurudi kwenye umasikini sbb hata ikitokea akayumba wife wake Happy ataokoa jahazi sbb mke pia anaingiza pesa zake.
Mwanaume unatakiwa uwe na wife leo ukimpeleka Dubai mwakani anaku suprise kwa kuipeleka familia Ibiza.
Unatakiwa uwe na wife hata ukifa au kuugua mwaka familia haiteseki sbb mama ana uwezo wa kulisongesha.
Mwanamke asiyemudu hata vocha au mlo wake ni LAANA.
Huyu hata ushauri wa maana hawezi kukupa.
Huyu ni wale ukikaa nae maongezi pekee anayomudu ni ya ngono ngono na kubebishana ,ukibadili topic ni pumba tu anaproduce.
Hapo unakua na uhakika mapenzi ni ya kweli.
Hata siku ukiwa nazo unamnunulia gari bila kusita.
Huyo Elon Musk mwenyewe hana mkeMkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.
Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.
Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!
Tena mpumbavu kweli kweli kweli..
Unasikitisha mno mbajo 🤣Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.
Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.
Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
Ukishazungumzia familia hio ni issue ingine.Jukumu la kulea familia ni la mwanaume tangu mwanzo , labda kulea demu sjui mpenzi sjui mchumba Hilo ndo tatizo , Ila kulea familia ni jukumu la mwanaume na ndo aliyepewa akili na uwezo wa kuyakabili mazingira magumu kuwa fursa...ukitaka mke afanye hyo kazi Mzee ataishia kugawa mbunye tuu , hawanaga huo uwezo hata kidog
Hahahahahah we sio mzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mteja wa kiume kaingia dukani hapa kasuka yebo yebo za rasta, nimechekaaaaaa ananiuliza unacheka nini?kanitolea macho ikabidi nimjibu kuna mtu kwenye simu ananichekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah mkuu huenda tuna falsafa ya aina moja. Stakagi shida kabisa kwenye kitu kinachoitwa mahusiano. 🤣🤣🤣Mapenzi ya kitapeli na kimaskini Mimi siyajui Kwa Kweli.
Mimi nataka mapenzi ya kupendana, Mwanamke akinipenda hawezi kukosa nauli wala vocha ya kunitafuta. Hilo ninauzoefu nalo na sijawahi ku-date na Wanawake njaa
Hahahah hilo kosa kubwa sana🤣 na wenyewe husema huwa hawakosi mda wala nauli kwa wanaume wanaowapenda. Iko hivyo yaniMwanamke anakuambia hana nauli wala vocha lakini huyohuyo analipia nauli kumfuata mzabzab. Unajiuliza Kwa huyo Pesa katoa wapi?
Hapo ndipo wanaume wengi wanakwama. Wanajitutumua ili wapate Sifa za kijinga za Wanawake alafu muda huohuo kuna wahuni wanapiga bureee
HahahahahahMkodie fremu muwekee bihashara uone kama atakuomba hiyo nauli. Umechagua mwenyewe jobless then unataka ajitafutie nauli serious??[emoji1]. Lakini unataka anayejilipia nauli mwenyewe, inamaanisha lazima huyo mtu awe na kakipato mazuri zuri kidogo, aliyejobless hawezi kumudu hiyo gharama. Na kwa jinsi nnavyokusoma , huwezi mkubali muuza maandazi bhana, Ila hapa wasema tu ooh auze hata maandazi, serious??[emoji23][emoji23]. Na kwa namna hii hata jobless humuhitaji wewe. Endelea kula wenye kazi zao ati [emoji1][emoji1][emoji1]. Wanaume wengine mna nongwa khaaaa, ukioa mkeo ataisoma namba utampigia mahesabu mpk ya kijiko, yee anunue kijiko we ununue kisu lol!!
Hahahahah ataelewa tu, mwanamke hana excuse za kijinga akiwa anakuzimia fulu🤣 hata Depal anajua jinsi ambavyo alikuwa anatumia pocket money kumpelekea muhuni mbususu na zawadi za boxer.Mimi siteseki kwani sijawahi kuwa na Mwanamke anayekosa nauli ya kuja kuniona au vocha ya kuwasiliana na Mimi.
Naongea Kwa uzoefu wa nilichopitia. Huyohuyo Mwanamke anayekuambia Hana nauli na vocha elewa kuwa kwetu anapata vocha na nauli ya kuja kutuona. Na hii ni Kwa sababu anatupenda.
Mwanamke hakosi Pesa Kwa Watu wafuatao;
1. Mtoto wake
2. Mzazi wake hasahasa Mama yake
3. Mwanaume anayempenda Kwa Moyo wote.
Mwanamke anapokuambia Hana nauli au vocha ya kuwasiliana na wewe Kwa Sisi wataalamu tunajua kuwa huyo Mwanamke hakupendi. Hilo ni uamini au usiamini.
Mwanamke anakuwa Maskini na Hana Pesa Kwa MTU asiyempenda. Bado hunielewi?
Hahahah hilo kosa kubwa sana🤣 na wenyewe husema huwa hawakosi mda wala nauli kwa wanaume wanaowapenda. Iko hivyo yani
Unamuwezeshaje mtu ambaye huna mkataba naye? 🤣 Unatafta kupigwa uone watu wabayaHapo tunaelewana mkuu, msaidie ajisimamie. Sasa swali, kama hujamuwezesha(japo siafiki kuwezesha mtu asiye mke), hii ni sawa na kusomesha mtu asiye mkeo. Unadhani utakutana nae vipi, aombe pesa kwa baba yake ili aje kukuona?
Hahahah mkuu huenda tuna falsafa ya aina moja. Stakagi shida kabisa kwenye kitu kinachoitwa mahusiano. 🤣🤣🤣
Vijana wanafungana mota kumbe wanajihalalishia kitanzi bila kujua. 🤣Vijana Hilo hawalijui.
Na Wanawake wanajua Vijana dhaifu ndio ngome yao