Mia 5 now days ni useless when it comes to bundles, ndio maana sijaitaja.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alufu tatu mbona nyingi, si ungesema hata Mia tano! But anyway she is promising, sio kama wa mleta mada.
Upo sahihi kabisa, utamtumia nauli, utamsaidia pale unapoweza, utamshauri ili aweze kusimama mwenyewe. Ukiona hana juhudi, weka pembeni hakufai.unatuma nauli....
ila sasa lazima na yeye kuna mda atakua anatumia yake mara mojamoja, hawezi kua tegemezi kwako 100%
Hii mbinu yako nliwahi itumia na mimi nilipata mademu wengi sana. Wakawa wananifuata wakijua najali na nina uwezo. Niliwala sana walikuja shtuka wamechelewa.Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.
Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?
Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,
A Man is'
- Protector.
- Provider.
Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.
Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.
Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)
Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......
Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.
Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?
Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
hatakama mtu ni jobless kuna vile vitu vidogo unaweza kumudu mfano, nauli.... hela ndogo za mitoko n.k....Atumie yake ipi na ulidate jobless, anakaa kwao maybe??
Why usidate ready made?
Kwanini usiwaambie ndugu zako wakakupangia Fremu ili usiombe Nauli huku na kule hivi uchi unathamani kiasi gani Hadi Mtu akupangie fremuMkodie fremu muwekee bihashara uone kama atakuomba hiyo nauli. Umechagua mwenyewe jobless then unataka ajitafutie nauli serious??[emoji1]. Lakini unataka anayejilipia nauli mwenyewe, inamaanisha lazima huyo mtu awe na kakipato mazuri zuri kidogo, aliyejobless hawezi kumudu hiyo gharama. Na kwa jinsi nnavyokusoma , huwezi mkubali muuza maandazi bhana, Ila hapa wasema tu ooh auze hata maandazi, serious??[emoji23][emoji23]. Na kwa namna hii hata jobless humuhitaji wewe. Endelea kula wenye kazi zao ati [emoji1][emoji1][emoji1]. Wanaume wengine mna nongwa khaaaa, ukioa mkeo ataisoma namba utampigia mahesabu mpk ya kijiko, yee anunue kijiko we ununue kisu lol!!
Anatoa wapi pesa na mtu ni jobless??hatakama mtu ni jobless kuna vile vitu vidogo unaweza kumudu mfano, nauli.... hela ndogo za mitoko n.k....
vitu vidogo tu hivyo huwezi kuomba kila mara utakua na matatizo
Aise kweli tunatofautiana...nikae natafuta heshima toka kwa mwanamke, yaani kiumbe dhaifu mie nihangaikie heshima yakeπ€£π€£π€£π€£
Anyways uzuri wa maisha kila mtu na mtazamo wake
Alafu tuache uwongo hamna mwanamme anatomba bure bwanaMwanamke anakuambia hana nauli wala vocha lakini huyohuyo analipia nauli kumfuata mzabzab. Unajiuliza Kwa huyo Pesa katoa wapi?
Hapo ndipo wanaume wengi wanakwama. Wanajitutumua ili wapate Sifa za kijinga za Wanawake alafu muda huohuo kuna wahuni wanapiga bureee
Kwani unafikifi hajafikisha 30 [emoji23][emoji23][emoji23]Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.
Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?
Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,
A Man is'
- Protector.
- Provider.
Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.
Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.
Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)
Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......
Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.
Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?
Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Hao wazazi hawaonei huruma mbususu za watoto zaoπ€£π€£π€£π€£π€£Anatoa wapi pesa na mtu ni jobless??
Tz mtoto akimaliza chuo akitulia home kucheck upepo ni wazazi wachache wanaoendelea kuwapa binti zao pocket money.
Hujamwelewa mtoa mada naona umekurupuka kumponda ili upate likes za wadada sijui.Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.
Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?
Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,
A Man is'
- Protector.
- Provider.
Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.
Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.
Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)
Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......
Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.
Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?
Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
hapana aisee, kamba hii....ni wazazi wachache wanaoendelea kuwapa binti zao pocket money.
hapana aisee, kamba hii....
nimeishi na dada kwahiyo naelewa[emoji23] ila hii imekaa kimtazamo zaidi, kuna wadada wakishapata mpenzi wanaona wasitumie hela yao kabisa, na kuna wale wapole wanaosaidia kidogo....
Mia 5 now days ni useless when it comes to bundles, ndio maana sijaitaja.
Wa mtoa mada hatari sana kwa afya ππ
Hao ni rahisi kuwa na multiple relationship.
hujaelewa, namaanisha kipindi akiwa nyumbani bado alikua anapewa hela na wazazi na alikua kashamaliza chuoKwahiyo unaishi kwa shemeji yako?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas nishaelewa
Hii mbinu yako nliwahi itumia na mimi nilipata mademu wengi sana. Wakawa wananifuata wakijua najali na nina uwezo. Niliwala sana walikuja shtuka wamechelewa.
Chizi Maarifa
Nitumie laki basi nikaoshe nyweleMkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.
Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.
Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
hujaelewa, namaanisha kipindi akiwa nyumbani bado alikua anapewa hela na wazazi na alikua kashamaliza chuo