Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Kuwa na Pesa ya vocha na nauli ni pesa ndogondogo. Haimaanishi anajiweza kiuchumi au anauhuru kiuchumi.

Ninachoelezea hapa ni kuwa kugeuzwa msukule kisa mapenzi na kile kiitwacho wewe ni Mwanaume hiyo ni dhana ya Wanawake Maskini waliorithi umaskini Kutoka kwao.
Kama unakereka na nauli au vocha kwa mtu ambaye unajua kabisa hana means za kupata pesa, basi tena mkuu. Utafute "ready-made" mkagawane bills huko restaurant na mkasaidiane kulipia lodge.
 
Imagine umekutana na graduate, au binti amekaa home akitafuta kazi kwa miaka miwili hivi. Anaonyesha kukupenda, won't you help her when necessary?
Unamsaidia mtaji ili akue kiuchumi na sio kuwa ombaomba maana Formula na mfumo wa Maisha hauitaji kumpa mtu hela Bali kumpa njia za kuingiza hela so lazima umsaidie Mtu kujikwamua kiuchumi na sio yeye kukutegemea kwa kila kitu hapo je mkiachana itakuaje?
 
Hicho ndio najaribu kumueleza lakini naona hanipati.
Sijakataa wanaume kuhudumia Wanawake wanaowapenda, Ila tatizo langu lipo Kwa Vijana wanaoteswa, wanahenyeshwa na kutumikishwa kisukule na bado hawapati heshima wanazozistahili.
Ilhali Sisi ambao hatuhenyeki wala kutumikishwa tunapewa heshima na tunapewa Haki zetu
Aise kweli tunatofautiana...nikae natafuta heshima toka kwa mwanamke, yaani kiumbe dhaifu mie nihangaikie heshima yake🤣🤣🤣🤣
Anyways uzuri wa maisha kila mtu na mtazamo wake
 
Aisee umesema kweli.
Wako mabinti mpk akwambie anahitaji msaada unampa bila kuuliza.
Kuna binti siku niko zangu alosto sina hela home.
Kaniona natia huruma
Alikua na hela anarudi chuo.
Kanipa zote nikalewe😁.
Mama pia ni mlokole.
Kaona huyu jamaa hayuko sawa
Aisee nikashangaa karudi na Bapa hilo.
Akasema likiisha nakuchukulia jingine usimwonyeshe mtu,🤣🤣🤣
Hawa wanawake wawili sanamu yao ninayo
Nawaheshimu sana.
Mwanamke lazima ajiongeze bwana hapo ata hela kutoa unatoa tuu. Demu umedhamini mapambano kuni yeye ata siku moja kisema bby nipo hotel flani njoo basi tuenjoy hamna. Ah they just too selfish
 
Unamsaidia mtaji ili akue kiuchumi na sio kuwa ombaomba maana Formula na mfumo wa Maisha hauitaji kumpa mtu hela Bali kumpa njia za kuingiza hela so lazima umsaidie Mtu kujikwamua kiuchumi na sio yeye kukutegemea kwa kila kitu hapo je mkiachana itakuaje?
Hapo tunaelewana mkuu, msaidie ajisimamie. Sasa swali, kama hujamuwezesha(japo siafiki kuwezesha mtu asiye mke), hii ni sawa na kusomesha mtu asiye mkeo. Unadhani utakutana nae vipi, aombe pesa kwa baba yake ili aje kukuona?
 
Kama unakereka na nauli au vocha kwa mtu ambaye unajua kabisa hana means za kupata pesa, basi tena mkuu. Utafute "ready-made" mkagawane bills huko restaurant na mkasaidiane kulipia lodge.

Mimi siteseki kwani sijawahi kuwa na Mwanamke anayekosa nauli ya kuja kuniona au vocha ya kuwasiliana na Mimi.

Naongea Kwa uzoefu wa nilichopitia. Huyohuyo Mwanamke anayekuambia Hana nauli na vocha elewa kuwa kwetu anapata vocha na nauli ya kuja kutuona. Na hii ni Kwa sababu anatupenda.

Mwanamke hakosi Pesa Kwa Watu wafuatao;
1. Mtoto wake
2. Mzazi wake hasahasa Mama yake
3. Mwanaume anayempenda Kwa Moyo wote.

Mwanamke anapokuambia Hana nauli au vocha ya kuwasiliana na wewe Kwa Sisi wataalamu tunajua kuwa huyo Mwanamke hakupendi. Hilo ni uamini au usiamini.

Mwanamke anakuwa Maskini na Hana Pesa Kwa MTU asiyempenda. Bado hunielewi?
 
Hapo tunaelewana mkuu, msaidie ajisimamie. Sasa swali, kama hujamuwezesha(japo siafiki kuwezesha mtu asiye mke), hii ni sawa na kusomesha mtu asiye mkeo. Unadhani utakutana nae vipi, aombe pesa kwa baba yake ili aje kukuona?

Unaweza kumuwezesha Mwanamke unayempenda ikiwa sio mbinafsi, mnapendana na kusaidiana.
Kuwa MKE haitoshi.
Bado hunielewi
 
Mkodie fremu muwekee bihashara uone kama atakuomba hiyo nauli. Umechagua mwenyewe jobless then unataka ajitafutie nauli serious??[emoji1]. Lakini unataka anayejilipia nauli mwenyewe, inamaanisha lazima huyo mtu awe na kakipato mazuri zuri kidogo, aliyejobless hawezi kumudu hiyo gharama. Na kwa jinsi nnavyokusoma , huwezi mkubali muuza maandazi bhana, Ila hapa wasema tu ooh auze hata maandazi, serious??[emoji23][emoji23]. Na kwa namna hii hata jobless humuhitaji wewe. Endelea kula wenye kazi zao ati [emoji1][emoji1][emoji1]. Wanaume wengine mna nongwa khaaaa, ukioa mkeo ataisoma namba utampigia mahesabu mpk ya kijiko, yee anunue kijiko we ununue kisu lol!!
 
Aise kweli tunatofautiana...nikae natafuta heshima toka kwa mwanamke, yaani kiumbe dhaifu mie nihangaikie heshima yake🤣🤣🤣🤣
Anyways uzuri wa maisha kila mtu na mtazamo wake

Mwanamke anakuambia hana nauli wala vocha lakini huyohuyo analipia nauli kumfuata mzabzab. Unajiuliza Kwa huyo Pesa katoa wapi?

Hapo ndipo wanaume wengi wanakwama. Wanajitutumua ili wapate Sifa za kijinga za Wanawake alafu muda huohuo kuna wahuni wanapiga bureee
 
Hapo tunaelewana mkuu, msaidie ajisimamie. Sasa swali, kama hujamuwezesha(japo siafiki kuwezesha mtu asiye mke), hii ni sawa na kusomesha mtu asiye mkeo. Unadhani utakutana nae vipi, aombe pesa kwa baba yake ili aje kukuona?
Binafsi Mimi huwa naamini ukimsaidia Mtu akainuka kiuchumi hata mki breakup bado atoendelea na Yale Maisha ya mademu wa bongo ya kutafta mwanume ili awe solebread winner so Unaweza kuangalia Boss Ruge mademu zake Kama Nandi zumaridi n.k wote amehakikisha anawatoa katika utumwa wa kuamini uchi ndo utawapa Maisha Bali hard work

So huwezi mfananisha Nandi na mademu wa bongo Kama Kajala n.k


Unapokuwa na mtu hata Kama Hana kitu mlishe fikra huru za ku-hustle na sio kutegemea wanaume hapo ujamsaidia hata ungempangia Apartment masaki bado hujamsaidia tumia formula za Jay Z au Ruge wa clouds kumpa mtu Nauli na vocha nikumfanya awe masikini Maisha yapo kimipango zaidi.
 
Mkodie fremu muwekee bihashara uone kama atakuomba hiyo nauli. Umechagua mwenyewe jobless then unataka ajitafutie nauli serious??[emoji1]. Lakini unataka anayejilipia nauli mwenyewe, inamaanisha lazima huyo mtu awe na kakipato mazuri zuri kidogo, aliyejobless hawezi kumudu hiyo gharama. Na kwa jinsi nnavyokusoma , huwezi mkubali muuza maandazi bhana, Ila hapa wasema tu ooh auze hata maandazi, serious??[emoji23][emoji23]. Na kwa namna hii hata jobless humuhitaji wewe. Endelea kula wenye kazi zao ati [emoji1][emoji1][emoji1]. Wanaume wengine mna nongwa khaaaa, ukioa mkeo ataisoma namba utampigia mahesabu mpk ya kijiko, yee anunue kijiko we ununue kisu lol!!

Mimi sio MTU wa kubagua Wanawake Wazuri wanaofanya kazi zao kama ujasiriamali.
Lakini ni mbaguzi na mwenye dharau Kwa Watu wanyonyaji ambao hawajishughulishi na wanataka kunyonya nguvu za wengine
 
Back
Top Bottom