Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Jukumu la kulea familia ni la mwanaume tangu mwanzo , labda kulea demu sjui mpenzi sjui mchumba Hilo ndo tatizo , Ila kulea familia ni jukumu la mwanaume na ndo aliyepewa akili na uwezo wa kuyakabili mazingira magumu kuwa fursa...ukitaka mke afanye hyo kazi Mzee ataishia kugawa mbunye tuu , hawanaga huo uwezo hata kidog

Hizo ni kauli za jamii Maskini.
Kulea familia ni jukumu la Baba na Mama.
Wote lazima mfanye kazi, mtunze Familia yenu Kwa kushirikiana.
Kujigeuza msukule Kwa wanaume wengi ndio kunawafanya wawaone Wanawake ni wabaya kumbe wao ndio wapumbavu.
Kasome;

Mithali 31:
10Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?
Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.
11Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.
12Humtendea mema wala si mabaya,
Siku zote za maisha yake.
13Hutafuta sufu na kitani;
Hufanya kazi yake kwa moyo wote.
14Afanana na merikebu za biashara;
Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla usiku haujaisha;
Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;
Na wajakazi wake sehemu zao.
16Huangalia shamba, akalinunua;
Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;
Hutia mikono yake nguvu.
18Huona kama bidhaa yake ina faida;
Taa yake haizimiki usiku.
19Hutia mikono yake katika kusokota;
Na mikono yake huishika pia.
20Huwakunjulia maskini mikono yake;
Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;
Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22Hujifanyia mazulia ya urembo;
Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;
Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24Hufanya nguo za kitani na kuziuza;
Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
26Hufumbua kinywa chake kwa hekima,
Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;
Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri;
Mumewe naye humsifu, na kusema,
29Binti za watu wengi wamefanya mema,
Lakini wewe umewapita wote.

Huyo ndio MKE sasa. Unaoa MKE na sio mdoli
 
Hizo ni kauli za jamii Maskini.
Kulea familia ni jukumu la Baba na Mama.
Wote lazima mfanye kazi, mtunze Familia yenu Kwa kushirikiana.
Kujigeuza msukule Kwa wanaume wengi ndio kunawafanya wawaone Wanawake ni wabaya kumbe wao ndio wapumbavu.
Kasome;

Mithali 31:
10Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?
Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.
11Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.
12Humtendea mema wala si mabaya,
Siku zote za maisha yake.
13Hutafuta sufu na kitani;
Hufanya kazi yake kwa moyo wote.
14Afanana na merikebu za biashara;
Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla usiku haujaisha;
Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;
Na wajakazi wake sehemu zao.
16Huangalia shamba, akalinunua;
Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;
Hutia mikono yake nguvu.
18Huona kama bidhaa yake ina faida;
Taa yake haizimiki usiku.
19Hutia mikono yake katika kusokota;
Na mikono yake huishika pia.
20Huwakunjulia maskini mikono yake;
Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;
Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22Hujifanyia mazulia ya urembo;
Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;
Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24Hufanya nguo za kitani na kuziuza;
Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
26Hufumbua kinywa chake kwa hekima,
Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;
Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri;
Mumewe naye humsifu, na kusema,
29Binti za watu wengi wamefanya mema,
Lakini wewe umewapita wote.

Huyo ndio MKE sasa. Unaoa MKE na sio mdoli
Mke ni msaidizi sio main performer ...
 
Mke ni msaidizi sio main performer ...

Na hicho ndicho nilichoandika.
Kama Mwanamke anakosa nauli na vocha huyo tafsiri yake Hana Sifa za hiyo mithali 31. Yaani sio MKE mwema na Bora.
Kwamba anashindwa kujishughulisha Kwa vitu vidogo vidogo ajihudumie mahitaji yake.
Hivi huyo ukimuoa si atakugeuza msukule wake.
 
Mwanaume hawezi kuwa mtumwa WA Mwanamke.
Kitendo cha kumhudumia Mwanamke mbinafsi Kwa kigezo cha kumpenda moja Kwa moja kinaonyesha mwanaume hajiamini na NI mtumwa wa huyo Mwanamke.

Mwanaume hata awe na Pesa au utajiri wa kiwango gani, kumsaidia Mwanamke kunaendana na tabia za Mwanamke husika. Na hapa nazungumzia Tabia njema.


"ushasema mwanamke Mbinafsi" - Ulichaguliwa?
 
Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.

Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.

Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
Wanakuja PM
 
Habari za Sabato!

Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa kuwa Mwanamke mrembo na mzuri anaweza kukosa nauli au vocha. Hilo siwezi kuamini.

Hiyo imetusaidia Sana kuepukana na Wanawake matapeli, Almaarufu wala nauli, wapiga mizinga ya kitoto toto, Wanawake wenye fikara za kimaskini hivi.

Mtoto yupo Arusha au Mwanza au Nairobi mnawasiliana anakuambia likizo anakuja, anajilipia nauli mwenyewe anakuja.

Hao ndio wasichana na Wanawake ambao Kwa kweli ninaweza kuingia nao kwenye mahusiano. Mnakaa mnajadili na mnapiga Stori za maana, sio unakaa na Mwanamke anawaza akiondoka utampa shilingi ngapi. Hizo sio type za Sisi Watibeli.

Vijana hasa ninyi vijana wadogo ambao mmetoka familia Duni, Vijana mnaojitafuta, chukueni ushauri wangu, utawasaidia pakubwa. Hakikisheni mnachukua Wanawake wanaowahitaji ninyi kimapenzi na kimahusiano. Wenye uwezo wa kujilipia Bills ndogondogo. Achaneni na Kutafuta Kupe na kunguni WA kuwanyonya Damu. Shauri yenu.

Asije Mwanamke Maskini akakuletea mawazo yake ya kimaskini aliyoyarithi Huko kwao, kwamba ati wewe mwanaume ndio unatakiwa umenyeke kumtunza, sijui umtumie nauli, sijui vocha sijui Pesa ya Kula, ukiona demu wako anamawazo ya hivyo jua huyo ni Maskini na atakuletea umaskini nyumbani kwako. Huo unaitwa umaskini wa kurithi. Lazima ufe mapema wewe. Lazima uso wako usiwe na Nuru wewe. Lazima ufubae, yaani huo ndio Utapeli ambao Watibeli hatutauruhusu.

Usije ukakubali kuwa mtumwa WA MTU mwingine Kwa vigezo vya kijinga ATI sijui wewe ni Mwanaume. Tena Kwa MTU ambaye hujamuoa, na hata kama umemuoa lakini ni MTU mbinafsi.
Yaani wewe ndio usulubike? Watibeli hatupo hivyo.

Yaani usulubike Wakati kuna wanawake kibao wanaojiweza, wanaoweza kukupenda na mkaenjoi Maisha Kwa kusaidiana wote pasipo ubinafsi.

Yaani upo na Mwanamke ambaye hata hajawahi kukusaidia chochote zaidi ya wewe ndio kuwa msukule wake kisa akupe ngono. Thubutu!

Vijana, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda huwezi kuteseka, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda atapata nauli na vocha ya kukutafuta tuu.
Vijana eleweni kuwa ukiona Mwanamke wako ni mbinafsi anataka tuu wewe ndio umhudumie ujue huyo hakupendi, jua wewe ni mtumwa wako.

ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!

Mbona Sisi hao Wanawake hawathubutu kusema hivyo. Usipende kupelekeshwa kijinga jinga!
ATI Mwanamke anakuambia, mwanaume gani huna Pesa alafu lenyewe linalokuambia kazi halina, Pesa Hana, lakini anatumia maneno yake kukuadhibu wewe ili umtumikie. Nawe Kwa ujinga wako na kutokujiamini kwako unajitutumua ili upate Sifa zake. Aliyekuambia Sifa za Mwanamke Maskini zitakusaidia ni Nani?

Umaskini wa fikra,
Umaskini wa Mali
Umaskini wa Roho.

Vijana wangu, kuweni Wanaume. Na uanaume hautatokana na Maoni ya Wanawake juu yako.
Uanaume ni kujitambua, kujua nafasi yako, kujua nini chakufanya. Kuishi kifalme na sio kutumikishwa kama Lofa. Pumbavu!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umepiga kwenye mshono masta yani mi dem wa namna hiyo hata wiki haipiti yani una kaa na dem ana waza kukupiga mzinga tu .... mbezi Beach na mwenge ni karibu lakini anakuomba pesa ya nauli pumbavu kabisa ...... kwanza wana niksi
 
Imategemea unadate na mtu wa aina gani.

Mabinti wengi na actually vijana wengi ni jobless, hawana vipato. Ukimpata binti wa hivi huna budi kumsaidia, tena msaidie sana kila unapoweza kwa sababu ukweli ni kuwa wengi sana wana elimu zao lakini bahati mbaya sana wapo tu home hawana shughuli za kufanya.

Kama unadate mfanyakazi au mjasiriamali, kweli nauli ya uber, boda au daladala ni jukumu lake. Kama hata nauli anaona ubahili kujilipia, basi tena.

Ukiwa na mke ni hadithi nyingine kabisa...
 
hela haziokotwi nyie sio wastaarabu kila saa mizinga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mteja wa kiume kaingia dukani hapa kasuka yebo yebo za rasta, nimechekaaaaaa ananiuliza unacheka nini?kanitolea macho ikabidi nimjibu kuna mtu kwenye simu ananichekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?

Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,

A Man is'

  • Protector.
  • Provider.

Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.



Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.

Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)

Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......

Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.

Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?
Ni
Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Tatizo wao hawatupendi wanatutumia.
 
"ushasema mwanamke Mbinafsi" - Ulichaguliwa?

Kimsingi sijawahi date na Mwanamke mbinafsi.

Unajua wanaume wengi wanakufa mapema Kwa sababu gani?
Unajua wanaume wengi hasa Vijana wanateswa na Wanawake,
Ndio maana ninawasanua Vijana wadogo ambao hawajaingia kwenye Ndoa ili wale Maisha kama Mimi Kaka yao
 
Back
Top Bottom