Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mteja wa kiume kaingia dukani hapa kasuka yebo yebo za rasta, nimechekaaaaaa ananiuliza unacheka nini kanitolea macho ikabidi nimjibu kuna mtu kwenye simu ananichekesha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usibadilishe mada

acha mizinga, umepewa bure, toa bure😂
 
Tatizo wao hawatupendi wanatutumia.

Hicho ndio najaribu kumueleza lakini naona hanipati.
Sijakataa wanaume kuhudumia Wanawake wanaowapenda, Ila tatizo langu lipo Kwa Vijana wanaoteswa, wanahenyeshwa na kutumikishwa kisukule na bado hawapati heshima wanazozistahili.
Ilhali Sisi ambao hatuhenyeki wala kutumikishwa tunapewa heshima na tunapewa Haki zetu
 
Umepiga kwenye mshono masta yani mi dem wa namna hiyo hata wiki haipiti yani una kaa na dem ana waza kukupiga mzinga tu .... mbezi Beach na mwenge ni karibu lakini anakuomba pesa ya nauli pumbavu kabisa ...... kwanza wana niksi

Kweli!
Nauli elfu 5 inamsumbua Dada mwenye 25+ hivi huyo ataweza majukumu ya kuwa MKE kweli
 
Vocha mtaombwa tu, mtulie.

Najiwekea vocha, ila marufuku kuzidi laki 1 monthly. Ikielekekea kuzidi kuna mtoto wa mtu tu ataniwekea kwa kuombwa. 😏😏
Tar 1- leo 8, nishamaliza elf 42,500...
 
Imategemea unadate na mtu wa aina gani.

Mabinti wengi na actually vijana wengi ni jobless, hawana vipato. Ukimpata binti wa hivi huna budi kumsaidia, tena msaidie sana kila unapoweza kwa sababu ukweli ni kuwa wengi sana wana elimu zao lakini bahati mbaya sana wapo tu home hawana shughuli za kufanya.

Kama unadate mfanyakazi au mjasiriamali, kweli nauli ya uber, boda au daladala ni jukumu lake. Kama hata nauli anaona ubahili kujilipia, basi tena.

Ukiwa na mke ni hadithi nyingine kabisa...

Binti ashindwe kutengeneza hata maandazi?
 
usibadilishe mada

acha mizinga, umepewa bure, toa bure[emoji23]

Sibadilishi kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wanaume wa dar ni hatare afu mwamba kapanda hewani mashallah!! Ila sasa mikia ya rasta inabembea dah!!!!

Afu mshamba sikiliza cha bure kabuli tu!!
Mimi nihangaike kuipaka poda na futa la nazi, afu kibwege bwege tu uje ubembee bure na unene kwa lugha bila kulipia thubutuuuuu!!

Km vipi muwe mnafuck cousins wenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vocha mtaombwa tu, mtulie.

Najiwekea vocha, ila marufuku kuzidi laki 1 monthly. Ikielekekea kuzidi kuna mtoto wa mtu tu ataniwekea kwa kuombwa. 😏😏
Tar 1- leo 8, nishamaliza elf 42,500...

Sema wapo mandondocha wenu wa kuwaomba.

Unakuta kakijana Ka Watu kanatuma vocha lakini hakatafutwi😂😂 alafu kalivyo kajinga kanajiona kapo timamu.

Alafu kuna Sisi ambao vocha hatuweki na bado tunatafutwa kutwa kucha. Na bado Binti asipokutafuta anajitetea utadhani ulimuuliza.

Lakini wapo Vijana vocha wanawatumia ninyi viroboto, na bado mnawapelekesha kama Magari mabovu.
Hiyo Kwa Sisi Watibeli haiwezi Kati kutokea hata Dunia ipinduke
 
wengine unamtongoza anakwambia ana mtu wake, ila matatizo yake umsaidie wanawake kuwaelewa ni ngumu sana!

Ukiona Mwanamke anakuambia hivyo ujue amekudharau Sana.

Mbona Sisi wengine hawathubutu kuongea upumbavu kama huo
 
Sasa huwa sielewi kitu kimoja uchi mchafu wenye UTI Sugu unakuaje sawa na thamani ya pesa? Binafsi siwezi kumpa Mwanamke pesa ili anipe uchi hiyo hela lazima niitumie Mimi mwenyewe kula vizuri kulala vizuri na kuvaa vizuri na kidogo sadaka
 
Aisee umesema kweli.
Wako mabinti mpk akwambie anahitaji msaada unampa bila kuuliza.
Kuna binti siku niko zangu alosto sina hela home.
Kaniona natia huruma
Alikua na hela anarudi chuo.
Kanipa zote nikalewe😁.
Mama pia ni mlokole.
Kaona huyu jamaa hayuko sawa
Aisee nikashangaa karudi na Bapa hilo.
Akasema likiisha nakuchukulia jingine usimwonyeshe mtu,🤣🤣🤣
Hawa wanawake wawili sanamu yao ninayo
Nawaheshimu sana.
 
Sema wapo mandondocha wenu wa kuwaomba.

Unakuta kakijana Ka Watu kanatuma vocha lakini hakatafutwi😂😂 alafu kalivyo kajinga kanajiona kapo timamu.

Alafu kuna Sisi ambao vocha hatuweki na bado tunatafutwa kutwa kucha. Na bado Binti asipokutafuta anajitetea utadhani ulimuuliza.


Lakini wapo Vijana vocha wanawatumia ninyi viroboto, na bado mnawapelekesha kama Magari mabovu.
Hiyo Kwa Sisi Watibeli haiwezi Kati kutokea hata Dunia ipinduke
komaaaa kuwaita watu wetu mandondocha.

ndondocha ni huyo binti unayemdate anayeonekania kuwa yatima wa mapenzi. Ref ulichoandika kumuhusu..
 
We Jamaa una Akili Sana nadhani dhumuni la mtu kitafta hela ni kwa ajili ya kula vizuri kuvaa vizuri na kulala vizuri hao waomba Nauli wanabidi wawasubilie vijana wa mikoani ambao hawajitambui

Raha ya Mwanamke awe anakupenda.
Mkitoka out mnapiga Pesa ya yeyote(iwe yako au yake) mkitoka hapo mnaenda Hotelini au Guest mnamalizana.
Au unaenda kwake au kwako mnaishi kishkaji.
Sio unafanywa kondoo alafu kupe anakunyonya
 
Back
Top Bottom