Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ndiyo nipo kwa wakala wa MoneyGram kukutumia mzigo 🤗Nitumie laki basi nikaoshe nywele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nipo kwa wakala wa MoneyGram kukutumia mzigo 🤗Nitumie laki basi nikaoshe nywele
Kwa maelezo haya ni wajinga tu ndo watakupinga
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.
Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?
Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,
A Man is'
- Protector.
- Provider.
Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.
Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu
[QUOTE/] Pamoja na kutoa haya maelezo marefu, nasikitika kukwambia kwamba mada hujaielewa ipasavyo ila umekurupuka tu.
Rudia kusoma upya na usome kwa utulivu.
Kwani wengine wana vichwa gani kiasi cha kushindwa kuielewa hii mada?Mwanaume hawezi kuwa mtumwa WA Mwanamke.
Kitendo cha kumhudumia Mwanamke mbinafsi Kwa kigezo cha kumpenda moja Kwa moja kinaonyesha mwanaume hajiamini na NI mtumwa wa huyo Mwanamke.
Mwanaume hata awe na Pesa au utajiri wa kiwango gani, kumsaidia Mwanamke kunaendana na tabia za Mwanamke husika. Na hapa nazungumzia Tabia njema.
Kwani wengine wana vichwa gani kiasi cha kushindwa kuielewa hii mada?
Mbona jambo ulilozungumza ni ukweli mtupu lakini ajabu mwingine anajitokeza kudai sijui anapinga?!!
Bila shinikizo la mwanamke, kwahiyo wewe huwezi kutia bidíi katika kutafuta hela?Mkuu hao wanawake unaowasema ndiyo Bwana Elon Musk ameamua kuwatengenezea.
Mwanamke hakuombi hata hela ya kununua Peruvian Hair, sembuse ya kwenda kusafisha Kucha Saluni.
Unadate na Mwanamke ambaye hakuombi Vocha si atafanya akili yako ilale, Mwanamke lazima akuombe vi elfu 50, 50 ili akufanye utie bidii kutafuta hela
Umeua bro.Kwa ufupi wanawake wenye akili huwa wanakuja wenyewe kwa mwanaume ambaye unajielewa.
Stop Chasing, Start Attracting
Soon soon moyo unaelea 🤪Ndiyo nipo kwa wakala wa MoneyGram kukutumia mzigo 🤗
Naambiwa kuna tatizo la mtandao hapa, ila soon wakala amenambia utaiona 🤗Soon soon moyo unaelea 🤪
😂😂😂😂😂Naambiwa kuna tatizo la mtandao hapa, ila soon wakala amenambia utaiona 🤗
Kuna Wanawake wanatumika kama Chachu ya mafanikio ya baadhi ya Wanaume.Bila shinikizo la mwanamke, kwahiyo wewe huwezi kutia bidíi katika kutafuta hela?
Note: Ni kheri kuwa maskini wa mali kuliko kuwa maskini wa akili.
Kabisa yani.We Jamaa una Akili Sana nadhani dhumuni la mtu kitafta hela ni kwa ajili ya kula vizuri kuvaa vizuri na kulala vizuri hao waomba Nauli wanabidi wawasubilie vijana wa mikoani ambao hawajitambui
😅😅🏃🏃🏃😂😂😂😂😂
Kama anaonyesha kunipenda na siyo kunipenda kweli sitamsaidia maana ni atakuwa wale wale.Imagine umekutana na graduate, au binti amekaa home akitafuta kazi kwa miaka miwili hivi. Anaonyesha kukupenda, won't you help her when necessary?
Ubahili tu😅😅🏃🏃🏃
Nipo kama huamini ni juu yako.Alafu tuache uwongo hamna mwanamme anatomba bure bwana
Exactly.Hujamwelewa mtoa mada naona umekurupuka kumponda ili upate likes za wadada sijui.
Nilivomwelewa mtoa mada ni kuwa yeye hajakataa kumpa hela mke/mpenzi wake, kwasababu kiuhalisia Na kihaki kabisa hilo ni jukumu letu sisi wanaume kuwapa hela wake/wapenzi wetu, alichokataa Mtibeli ni yeye kutumika.
Na hii ni kwasababu kuna wanawake wana mindset za kishetani, yupo na wewe kwenye mahusiano ili umpe hela na kiuhalisia moyoni hakupendi kabisa na havutiwi na wewe kimapenzi.
Mara nyingi wanawake wanawaambiaga rafiki zao kwenye vijiwe vyao vya story, yule mwanaume sio type yangu, simpendi ila niko naye tu kwenye mahusiano ili nimalizie nyumba yangu, aweze lipa kodi mjini, ajikimu kimaisha, infact hata humu jf wanawake wengi wanakiri kuwa wanaolewa kisa matunzo/pesa ilhali hawavutiwi kimapenzi na waume zao.
Huo ndio utapeli ambao mtibeli ameukataa uttoh2002