Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Mimi sio MTU wa kubagua Wanawake Wazuri wanaofanya kazi zao kama ujasiriamali.
Lakini ni mbaguzi na mwenye dharau Kwa Watu wanyonyaji ambao hawajishughulishi na wanataka kunyonya nguvu za wengine
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wanyonyaji kama kunguni. Hao piga chini kabisa. Mwanamke anayetumia nyuchi kupata kipato siyo mwanamke kabisa. Kama vile Paula na kajala hawaifai vibaya mno
 
Habari za Sabato!

Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa kuwa Mwanamke mrembo na mzuri anaweza kukosa nauli au vocha. Hilo siwezi kuamini.

Hiyo imetusaidia Sana kuepukana na Wanawake matapeli, Almaarufu wala nauli, wapiga mizinga ya kitoto toto, Wanawake wenye fikara za kimaskini hivi.

Mtoto yupo Arusha au Mwanza au Nairobi mnawasiliana anakuambia likizo anakuja, anajilipia nauli mwenyewe anakuja.

Hao ndio wasichana na Wanawake ambao Kwa kweli ninaweza kuingia nao kwenye mahusiano. Mnakaa mnajadili na mnapiga Stori za maana, sio unakaa na Mwanamke anawaza akiondoka utampa shilingi ngapi. Hizo sio type za Sisi Watibeli.

Vijana hasa ninyi vijana wadogo ambao mmetoka familia Duni, Vijana mnaojitafuta, chukueni ushauri wangu, utawasaidia pakubwa. Hakikisheni mnachukua Wanawake wanaowahitaji ninyi kimapenzi na kimahusiano. Wenye uwezo wa kujilipia Bills ndogondogo. Achaneni na Kutafuta Kupe na kunguni WA kuwanyonya Damu. Shauri yenu.

Asije Mwanamke Maskini akakuletea mawazo yake ya kimaskini aliyoyarithi Huko kwao, kwamba ati wewe mwanaume ndio unatakiwa umenyeke kumtunza, sijui umtumie nauli, sijui vocha sijui Pesa ya Kula, ukiona demu wako anamawazo ya hivyo jua huyo ni Maskini na atakuletea umaskini nyumbani kwako. Huo unaitwa umaskini wa kurithi. Lazima ufe mapema wewe. Lazima uso wako usiwe na Nuru wewe. Lazima ufubae, yaani huo ndio Utapeli ambao Watibeli hatutauruhusu.

Usije ukakubali kuwa mtumwa WA MTU mwingine Kwa vigezo vya kijinga ATI sijui wewe ni Mwanaume. Tena Kwa MTU ambaye hujamuoa, na hata kama umemuoa lakini ni MTU mbinafsi.
Yaani wewe ndio usulubike? Watibeli hatupo hivyo.

Yaani usulubike Wakati kuna wanawake kibao wanaojiweza, wanaoweza kukupenda na mkaenjoi Maisha Kwa kusaidiana wote pasipo ubinafsi.

Yaani upo na Mwanamke ambaye hata hajawahi kukusaidia chochote zaidi ya wewe ndio kuwa msukule wake kisa akupe ngono. Thubutu!

Vijana, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda huwezi kuteseka, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda atapata nauli na vocha ya kukutafuta tuu.
Vijana eleweni kuwa ukiona Mwanamke wako ni mbinafsi anataka tuu wewe ndio umhudumie ujue huyo hakupendi, jua wewe ni mtumwa wako.

ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!

Mbona Sisi hao Wanawake hawathubutu kusema hivyo. Usipende kupelekeshwa kijinga jinga!
ATI Mwanamke anakuambia, mwanaume gani huna Pesa alafu lenyewe linalokuambia kazi halina, Pesa Hana, lakini anatumia maneno yake kukuadhibu wewe ili umtumikie. Nawe Kwa ujinga wako na kutokujiamini kwako unajitutumua ili upate Sifa zake. Aliyekuambia Sifa za Mwanamke Maskini zitakusaidia ni Nani?

Umaskini wa fikra,
Umaskini wa Mali
Umaskini wa Roho.

Vijana wangu, kuweni Wanaume. Na uanaume hautatokana na Maoni ya Wanawake juu yako.
Uanaume ni kujitambua, kujua nafasi yako, kujua nini chakufanya. Kuishi kifalme na sio kutumikishwa kama Lofa. Pumbavu!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu salute kwako.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wanyonyaji kama kunguni. Hao piga chini kabisa. Mwanamke anayetumia nyuchi kupata kipato siyo mwanamke kabisa. Kama vile Paula na kajala hawaifai vibaya mno

Mimi ninavyojua Mwanamke akikupenda Mno lazima utaishi Maisha mazuri.
Wote mpendane, mshirikiane, hakuna ubinafsi.

Tatizo lenu Wanawake wengi ni wabinafsi WA kiwango cha SGR, na hii inatokana na kuwa wengi mpo na wanaume msiowapenda.
 
Nyie wanawake muwe mnawatia madole ya tgo hawa wavulana, wanatujazia threads humu JF wao wakiamka wanawaza kuandika upuuzi tu...
 
unatuma nauli....

ila sasa lazima na yeye kuna mda atakua anatumia yake mara mojamoja, hawezi kua tegemezi kwako 100%
Hawa wanawake majambazi wamejazana hapo sinza,tbt kino atumie hela yake?
Anakwambia bby mi siji na bajaj nijazie mafuta nidrive.
Ukimpa imekula kwako.
Utachoma mahindi hatokei
Unaishia kutukana mitusi yote duniani.
 
Hizo ni kauli za jamii Maskini.
Kulea familia ni jukumu la Baba na Mama.
Wote lazima mfanye kazi, mtunze Familia yenu Kwa kushirikiana.
Kujigeuza msukule Kwa wanaume wengi ndio kunawafanya wawaone Wanawake ni wabaya kumbe wao ndio wapumbavu.
Kasome;

Mithali 31:
10Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?
Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.
11Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.
12Humtendea mema wala si mabaya,
Siku zote za maisha yake.
13Hutafuta sufu na kitani;
Hufanya kazi yake kwa moyo wote.
14Afanana na merikebu za biashara;
Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla usiku haujaisha;
Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;
Na wajakazi wake sehemu zao.
16Huangalia shamba, akalinunua;
Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;
Hutia mikono yake nguvu.
18Huona kama bidhaa yake ina faida;
Taa yake haizimiki usiku.
19Hutia mikono yake katika kusokota;
Na mikono yake huishika pia.
20Huwakunjulia maskini mikono yake;
Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;
Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22Hujifanyia mazulia ya urembo;
Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;
Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24Hufanya nguo za kitani na kuziuza;
Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
26Hufumbua kinywa chake kwa hekima,
Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;
Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri;
Mumewe naye humsifu, na kusema,
29Binti za watu wengi wamefanya mema,
Lakini wewe umewapita wote.

Huyo ndio MKE sasa. Unaoa MKE na sio mdoli
Mkuu kuna wanaume wenye kujiweza hataki mkewe afanye kazi yeyote zaidi ya kukaa nyumbani kuangalia familia watoto na kufanya shughuli ndogondogo za nyumbani.
Hawa unawazungumziaje.
 
Mapenzi ya kitapeli na kimaskini Mimi siyajui Kwa Kweli.
Mimi nataka mapenzi ya kupendana, Mwanamke akinipenda hawezi kukosa nauli wala vocha ya kunitafuta. Hilo ninauzoefu nalo na sijawahi ku-date na Wanawake njaa
Asee! Leo ni misumarii tu[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Nyie wanawake muwe mnawatia madole ya tgo hawa wavulana, wanatujazia threads humu JF wao wakiamka wanawaza kuandika upuuzi tu...
So kama kuna ambao wanaona ulichoandika ni upuuzi pia unaojaza threads humu JF,na kukuona wewe kavulana,unapaswa kufanyiwa hilo jambo na mwanamke wako au wanawake wako?
 
Sasa usilalamike mwanamke wako kuomba nauli kama yeye ni jobless na ndugu zake hawana uwezo huo wa kumfungulia fremu ama lah piga nyeto au kanunue dada poa. Ukitaka mwanamke awe unavyotaka wewe katafute aliyejijenga tayari ili mgawane majukumu. Au lah msapoti . Swala la mahusiano ni Pana usiangalie yule ambaye anajiweza tuu. Kuna watu Hana mtaji , Hana kitega uchumi na Hana pahali pa kuingizia pesa. Sasa wewe unataka uterezi mrahisishie afike unataka ajilipie. Maisha tunatofautiana bro
Mtu akiamua kukusaidia haitaji uchi wako Mkuu hizo fikra zenu mbaya that way hampati wanaume smart unabidi kuelewa Mwanaume anayehitaji kukusaidia ili utoke hatua A to B kwake uchi sio Jambo la msingi ebu jiulize nimademu wangapi wametoboa maisha kupitia uchi ?
 
Habari za Sabato!

Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa kuwa Mwanamke mrembo na mzuri anaweza kukosa nauli au vocha. Hilo siwezi kuamini.

Hiyo imetusaidia Sana kuepukana na Wanawake matapeli, Almaarufu wala nauli, wapiga mizinga ya kitoto toto, Wanawake wenye fikara za kimaskini hivi.

Mtoto yupo Arusha au Mwanza au Nairobi mnawasiliana anakuambia likizo anakuja, anajilipia nauli mwenyewe anakuja.

Hao ndio wasichana na Wanawake ambao Kwa kweli ninaweza kuingia nao kwenye mahusiano. Mnakaa mnajadili na mnapiga Stori za maana, sio unakaa na Mwanamke anawaza akiondoka utampa shilingi ngapi. Hizo sio type za Sisi Watibeli.

Vijana hasa ninyi vijana wadogo ambao mmetoka familia Duni, Vijana mnaojitafuta, chukueni ushauri wangu, utawasaidia pakubwa. Hakikisheni mnachukua Wanawake wanaowahitaji ninyi kimapenzi na kimahusiano. Wenye uwezo wa kujilipia Bills ndogondogo. Achaneni na Kutafuta Kupe na kunguni WA kuwanyonya Damu. Shauri yenu.

Asije Mwanamke Maskini akakuletea mawazo yake ya kimaskini aliyoyarithi Huko kwao, kwamba ati wewe mwanaume ndio unatakiwa umenyeke kumtunza, sijui umtumie nauli, sijui vocha sijui Pesa ya Kula, ukiona demu wako anamawazo ya hivyo jua huyo ni Maskini na atakuletea umaskini nyumbani kwako. Huo unaitwa umaskini wa kurithi. Lazima ufe mapema wewe. Lazima uso wako usiwe na Nuru wewe. Lazima ufubae, yaani huo ndio Utapeli ambao Watibeli hatutauruhusu.

Usije ukakubali kuwa mtumwa WA MTU mwingine Kwa vigezo vya kijinga ATI sijui wewe ni Mwanaume. Tena Kwa MTU ambaye hujamuoa, na hata kama umemuoa lakini ni MTU mbinafsi.
Yaani wewe ndio usulubike? Watibeli hatupo hivyo.

Yaani usulubike Wakati kuna wanawake kibao wanaojiweza, wanaoweza kukupenda na mkaenjoi Maisha Kwa kusaidiana wote pasipo ubinafsi.

Yaani upo na Mwanamke ambaye hata hajawahi kukusaidia chochote zaidi ya wewe ndio kuwa msukule wake kisa akupe ngono. Thubutu!

Vijana, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda huwezi kuteseka, eleweni kuwa Mwanamke akikupenda atapata nauli na vocha ya kukutafuta tuu.
Vijana eleweni kuwa ukiona Mwanamke wako ni mbinafsi anataka tuu wewe ndio umhudumie ujue huyo hakupendi, jua wewe ni mtumwa wako.

ATI Mwanamke anakuambia kama usiponipa hiki Mimi na wewe basi, na wewe unaanza kuhangaika. Mpumbavu wewe!

Mbona Sisi hao Wanawake hawathubutu kusema hivyo. Usipende kupelekeshwa kijinga jinga!
ATI Mwanamke anakuambia, mwanaume gani huna Pesa alafu lenyewe linalokuambia kazi halina, Pesa Hana, lakini anatumia maneno yake kukuadhibu wewe ili umtumikie. Nawe Kwa ujinga wako na kutokujiamini kwako unajitutumua ili upate Sifa zake. Aliyekuambia Sifa za Mwanamke Maskini zitakusaidia ni Nani?

Umaskini wa fikra,
Umaskini wa Mali
Umaskini wa Roho.

Vijana wangu, kuweni Wanaume. Na uanaume hautatokana na Maoni ya Wanawake juu yako.
Uanaume ni kujitambua, kujua nafasi yako, kujua nini chakufanya. Kuishi kifalme na sio kutumikishwa kama Lofa. Pumbavu!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa maelezo haya ni wajinga tu ndo watakupinga
 
Hujamwelewa mtoa mada naona umekurupuka kumponda ili upate likes za wadada sijui.

Nilivomwelewa mtoa mada ni kuwa yeye hajakataa kumpa hela mke/mpenzi wake, kwasababu kiuhalisia Na kihaki kabisa hilo ni jukumu letu sisi wanaume kuwapa hela wake/wapenzi wetu, alichokataa Mtibeli ni yeye kutumika.

Na hii ni kwasababu kuna wanawake wana mindset za kishetani, yupo na wewe kwenye mahusiano ili umpe hela na kiuhalisia moyoni hakupendi kabisa na havutiwi na wewe kimapenzi.

Mara nyingi wanawake wanawaambiaga rafiki zao kwenye vijiwe vyao vya story, yule mwanaume sio type yangu, simpendi ila niko naye tu kwenye mahusiano ili nimalizie nyumba yangu, aweze lipa kodi mjini, ajikimu kimaisha, infact hata humu jf wanawake wengi wanakiri kuwa wanaolewa kisa matunzo/pesa ilhali hawavutiwi kimapenzi na waume zao.

Huo ndio utapeli ambao mtibeli ameukataa uttoh2002


Nipate like maana zinanipa hela, we kwenge kweli
 
Back
Top Bottom