Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Kama una nauli yako wewe tumia tu hakuna ulazima wowote wakumuomba hiyo dhana ndio anapinga mtoa mada
Sijilipii nauli Asilani!kama anajisikia uchungu kutuma nauli aje yeye...... Yaani nisafiri kilometers away,Nichoke njiani,na nauli yangu wee nani kasema Huo upuuzi?😁😁😁😁
 
Aiseee endelezeni kutoka na hao wakishua,ila Binafsi Nina uwezo wa kulipa nauli hata ukiniita Kampala,ila kama hujanitumia walah sijui.....Mimi msimamo wangu ni kama wako siwezi date mwanaume hawezi tuma nauli,naweza fika huko hata jinsi ya kuku-host mgeni hawezi kumbe!anaanza kukulaza sehemu za ajabuajabu weeeeeeee Akili mtu wangu

Na Kwa nini nikuite Huko Kampala au DSM?

Kwani wewe huoni umuhimu au uhitaji wa kuja?
Hapo ndipo wengi wanakwama.

Kimsingi, Mimi siwezi kuwa na Mwanamke ambaye hanihitaji, yaani ATI mpaka nimuite, au nimtumie nauli, au vocha.
Mwanamke mwenyewe Baada ya kuingia kwenye relationship naye, mnatakiwa muwe mnahitajiana.

Anakuambia baby Niko njiani nakuja, anakuja mtoto, hivyo yaani.

Na mbona Wanawake wengi hasa wenye vipato wako hivyo.
 
Hajitambui.....

Yaani umtumie MTU nauli Wakati unajua anayo, kumaanisha wewe ndio unashida naye, ilhali zipo pisikali kuliko mwenyewe zenye kipato na zenye uwezo wa kujilipia nauli. Labda huyo Mwanaume awe jinga.

Vijana wanaojitambua hawawezi fanya Jambo kama Hilo. Labda Vijana washamba
 
Na Kwa nini nikuite Huko Kampala au DSM?

Kwani wewe huoni umuhimu au uhitaji wa kuja?
Hapo ndipo wengi wanakwama.

Kimsingi, Mimi siwezi kuwa na Mwanamke ambaye hanihitaji, yaani ATI mpaka nimuite, au nimtumie nauli, au vocha.
Mwanamke mwenyewe Baada ya kuingia kwenye relationship naye, mnatakiwa muwe mnahitajiana.

Anakuambia baby Niko njiani nakuja, anakuja mtoto, hivyo yaani.

Na mbona Wanawake wengi hasa wenye vipato wako hivyo.
Unataka kupingana na nature Sasa!ndio ninachokiona Sasa......kama unataka mwanamke ndiwe awe na mchecheto wa kukufuata wewe bila wewe kuonyesha unamtaji utasubiri sana.....
 
Yaani umtumie MTU nauli Wakati unajua anayo, kumaanisha wewe ndio unashida naye, ilhali zipo pisikali kuliko mwenyewe zenye kipato na zenye uwezo wa kujilipia nauli. Labda huyo Mwanaume awe jinga.

Vijana wanaojitambua hawawezi fanya Jambo kama Hilo. Labda Vijana washamba
Sasa kama unazo hizo pisi Kali kuliko yeye unashauriwa uendelee nao hao,ila Kwa mwanamke anayetambua hadeti na mwanaume kisa tu kavaa suluari,unadate na mtu Kwa kuangalia uwezo wake wa. kupambana na majukumu,Sasa mtu hata nauli analalamika huyo hata ukikwama Hela ya kulipa TRA atakusaidia Kweli?
 
Sasa kama unazo hizo pisi Kali kuliko yeye unashauriwa uendelee nao hao,ila Kwa mwanamke anayetambua hadeti na mwanaume kisa tu kavaa suluari,unadate na mtu Kwa kuangalia uwezo wake wa. kupambana na majukumu,Sasa mtu hata nauli analalamika huyo hata ukikwama Hela ya kulipa TRA atakusaidia Kweli?

Tatizo ni pale mnapojilanganisha na cc kwa kila kitu afu kwenye hela mnatuachia cc.
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?

Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,

A Man is'

  • Protector.
  • Provider.

Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.



Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.

Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)

Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......

Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.

Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?

Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Hujamuelewa rudia tena kusoma...point yake ni vijana wasikubali kuteseka kwenye mapenzi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseee tumeni tu nauli wapenzi zetu.

Ukiona mwanaume ajamtumia Girl nauli bhc kuna mawil
1/budget imesoma negative
2/kashamchoka uyo mtoto either kwa tabia zake Au ana option ya mwanamke mwingine
Vinginevo tunafuraishana tuh hapa ila kusema no kwa pisi kali huo ujasiri wengi hatunaa [emoji23][emoji23][emoji23]labda kwa izo option mbili apo
 
Back
Top Bottom