Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Hivi kuna wanaume wwngine wapoje? Yaani unamuomba msamaha mwanamke mrudiane hivi unajua akili za mwanamke akijua kwamba weww mwanaume ni bwege?mjinga au mpumbavu?

Ok ila nisiseme sana maana kuna watu wanasema maumivu ya mapenzi ni yanauma sana ila sijajua aisee ila wewe umewahi kupigwa na risasi?ok anyway naomba tumchangie
 

Attachments

  • 20240104_133418.jpg
    20240104_133418.jpg
    98.4 KB · Views: 7
  • 20240104_133422.jpg
    20240104_133422.jpg
    66.3 KB · Views: 8
Ndio madhara ya kutembea na binti na kumzalisha bila kujitambulisha kwao.

Hio sio mahari, ni ada ya kuwadharau wazazi na ndugu wa binti, unatembea na binti yao miaka hadi umemzalisha lakini huendi kujitambulisha kwao, umewafanyia uhuni nao watakupangia mahari ya kihuni, dawa ya moto ni moto.

Kuna mwengine aliweka mkasa wake humu aliambiwa alipie mahari milioni 10 huko Kigoma, alikuwa anaishi na binti Dsm, wana mtoto, jamaa kipindi chote hicho hajawahi kwenda kujitambulisha,
 
Wengi mnaomcheka Beka hapa huyo mwanamke wake mnamjua lakini? Pisi ya moto kwelikweli.

Huyo dada alimpenda sana Beka, ila Beka nae kama walivyo wanaume wengine kipindi anawika na vinyimbo vyake viwili vitatu akamchukulia poa, sasa hivi ndio analialia.

Ningekuwa mimi wala nisingemrudia, jasiri haachi asili.
 
Huu ni usanii kama usanii mwingine.

Wamekaa chini na mzazi mwenzie wakaja na mbinu hii.

Ila japo jamaa anajua kuimba, hana umaarufu wa kuweza kuchangiwa hiyo pesa.

Watafute njia nyingine ya kutokea.
 
Ndio madhara ya kutembea na binti na kumzalisha bila kujitambulisha kwao.

Hio sio mahari, ni ada ya kuwadharau wazazi na ndugu wa binti, unatembea na binti yao miaka hadi umemzalisha lakini huendi kujitambulisha kwao, umewafanyia uhuni nao watakupangia mahari ya kihuni, dawa ya moto ni moto.

Kuna mwengine aliweka mkasa wake humu aliambiwa alipie mahari milioni 10 huko Kigoma, alikuwa anaishi na binti Dsm, wana mtoto, jamaa kipindi chote hicho hajawahi kwenda kujitambulisha,
Nawaachia mtoto wao shida Iko wapi.
 
Ndio madhara ya kutembea na binti na kumzalisha bila kujitambulisha kwao.

Hio sio mahari, ni ada ya kuwadharau wazazi na ndugu wa binti, unatembea na binti yao miaka hadi umemzalisha lakini huendi kujitambulisha kwao, umewafanyia uhuni nao watakupangia mahari ya kihuni, dawa ya moto ni moto.

Kuna mwengine aliweka mkasa wake humu aliambiwa alipie mahari milioni 10 huko Kigoma, alikuwa anaishi na binti Dsm, wana mtoto, jamaa kipindi chote hicho hajawahi kwenda kujitambulisha,
Kama angepiga chini bila kumuoa wangempa nani hiyo adhabu ya 22m
 
Wengi mnaomcheka Beka hapa huyo mwanamke wake mnamjua lakini? Pisi ya moto kwelikweli.

Huyo dada alimpenda sana Beka, ila Beka nae kama walivyo wanaume wengine kipindi anawika na vinyimbo vyake viwili vitatu akamchukulia poa, sasa hivi ndio analialia.

Ningekuwa mimi wala nisingemrudia, jasiri haachi asili.
Anayejua pisi ya haja ni mwanaume, wewe huwezijua.
 
Back
Top Bottom