Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Huyo bwege nimemtamani kinoma yaan,angekuwa karibu ningempa za chembe,mwanamke ushamzalisha ana maajabu gani?...yaan ingekuwa mm sitoi mahari hataki atembeee,,sema watu kama wakina beka wana ushamba na k kinoma yaan anaona k ndo hyo hyo dunia nzima[emoji23][emoji23]
Kiutaratibu,
Mwanamke ukishamzalisha, mahali unajipangia, Tena unamkadiria
 
Wengi mnaomcheka Beka hapa huyo mwanamke wake mnamjua lakini? Pisi ya moto kwelikweli.

Huyo dada alimpenda sana Beka, ila Beka nae kama walivyo wanaume wengine kipindi anawika na vinyimbo vyake viwili vitatu akamchukulia poa, sasa hivi ndio analialia.

Ningekuwa mimi wala nisingemrudia, jasiri haachi asili.

Nifah,hata kama ni pisi ndo mahari iwe 22m??
 
Ndio madhara ya kutembea na binti na kumzalisha bila kujitambulisha kwao.

Hio sio mahari, ni ada ya kuwadharau wazazi na ndugu wa binti, unatembea na binti yao miaka hadi umemzalisha lakini huendi kujitambulisha kwao, umewafanyia uhuni nao watakupangia mahari ya kihuni, dawa ya moto ni moto.

Kuna mwengine aliweka mkasa wake humu aliambiwa alipie mahari milioni 10 huko Kigoma, alikuwa anaishi na binti Dsm, wana mtoto, jamaa kipindi chote hicho hajawahi kwenda kujitambulisha,
Sasa ndio wanamkomoa nani
 
Wengi mnaomcheka Beka hapa huyo mwanamke wake mnamjua lakini? Pisi ya moto kwelikweli.

Huyo dada alimpenda sana Beka, ila Beka nae kama walivyo wanaume wengine kipindi anawika na vinyimbo vyake viwili vitatu akamchukulia poa, sasa hivi ndio analialia.

Ningekuwa mimi wala nisingemrudia, jasiri haachi asili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti vinyimbo viwiliii, ila yule dada mzuri jamaniii.
 
Mkuu.....
Ebu punguza umuhimu kwenye maisha ya watu
 
Wale wa picha..!
Screenshot_2024-01-05-00-05-34-605_com.android.chrome.jpg
 
Wengi mnaomcheka Beka hapa huyo mwanamke wake mnamjua lakini? Pisi ya moto kwelikweli.

Huyo dada alimpenda sana Beka, ila Beka nae kama walivyo wanaume wengine kipindi anawika na vinyimbo vyake viwili vitatu akamchukulia poa, sasa hivi ndio analialia.

Ningekuwa mimi wala nisingemrudia, jasiri haachi asili.
I see!
Screenshot_20240105-001001_Chrome.jpg
 
Hivi kuna wanaume wwngine wapoje? Yaani unamuomba msamaha mwanamke mrudiane hivi unajua akili za mwanamke akijua kwamba weww mwanaume ni bwege?mjinga au mpumbavu?

Ok ila nisiseme sana maana kuna watu wanasema maumivu ya mapenzi ni yanauma sana ila sijajua aisee ila wewe umewahi kupigwa na risasi?ok anyway naomba tumchangie
Mbona ndogo sana hizo, pesa za mboga tu.
 
Back
Top Bottom