Wengine mnaoa familia gani? Milioni 22 mahari pekeee? Nonsese

Huyo bwege nimemtamani kinoma yaan,angekuwa karibu ningempa za chembe,mwanamke ushamzalisha ana maajabu gani?...yaan ingekuwa mm sitoi mahari hataki atembeee,,sema watu kama wakina beka wana ushamba na k kinoma yaan anaona k ndo hyo hyo dunia nzima[emoji23][emoji23]
Kiutaratibu,
Mwanamke ukishamzalisha, mahali unajipangia, Tena unamkadiria
 

Nifah,hata kama ni pisi ndo mahari iwe 22m??
 
Sasa ndio wanamkomoa nani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti vinyimbo viwiliii, ila yule dada mzuri jamaniii.
 
Mkuu.....
Ebu punguza umuhimu kwenye maisha ya watu
 
I see!
 
Mbona ndogo sana hizo, pesa za mboga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…