Mshaambiwa mitusi na uropokaji haiwaongezei kura.Chadema inaenda kuwa kama NCCR TLP na CUF ya Lipumba endapo hawa wajinga wawili Mbowe na wenje wataiba kura na kushika uongozi, Akili ya wenje ni ndogo, Akili za mbowe zimedumaa anaenda kwa Akili za chawa akina Sugu wavuta bangi, ebu fikiria huo uongozi utakuaje? balaa tupu hawa wati wawili ni punguani wa kutupwa badala ya kunadi sera sasa wamekalia masimango na mambo ya hovyo tupu
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso 😂Khaa
Mwaka wenu. Mshindwe wenyeweSisi CCM tunarekodi Kila sentenso 😂
Kura mtaiba ushindi wa lisu mtapora, uchakachuaji mtafanya, kuwaonea watu mtafanya, fanyeni ushetani wenu wote lakini kaa mkijua malipo ni hapa hapa Duniani na chadema itakuwa CUF ya Lipumba endapo hivyo vichwa viwili vibovu wenje na mbowe vitashika uongozi wa chademaAmtoe Kampeni manager wenu kijana - siku zinaisha awasaidie kusaka kura.
Sidhani kama Chadema mtapata hata Mbunge mmoja 😂Mwaka wenu. Mshindwe wenyewe
Tutapata tuSidhani kama Chadema mtapata hata Mbunge mmoja 😂
Makubwa😆😆😆 ila akili za watu wa chadema wanazijua wenyewe, wote ropo ropo, mwenye akili mbowe tuMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono 😂🔥
Maaskofu Watatu na Mufti 😂Makubwa😆😆😆 ila akili za watu wa chadema wanazijua wenyewe, wote ropo ropo, mwenye akili mbowe tu
Mbowe sasa ni mwimba Taarabu na mipasho kawa mzee wa masimango chadema Mbowe imevurugwa , kumbuka mbowe hakuzoea haya ya sasa alizoea kupita bila kupingwa chaguzi zote, sasa wamepelekeshwa na Lisu wamebakia kutapatapa na kuunda vikundi vya uchakachuaji kuiba kura kuidhoofisha kambi ya lisu kuwabambikia kesi akina SlaaMakubwa😆😆😆 ila akili za watu wa chadema wanazijua wenyewe, wote ropo ropo, mwenye akili mbowe tu
Hayo masimango ya wenje hayana mashiko kipindi hiki kwani Lisu kawashika pabaya mbaka wameanza kuwabambikia kesi kambi ya lisuKama hazina maandishi Lissu atakanusha.
Lisu ni tapeli, ametapeli wengi sana fedha hata kabla ya marisasiMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono [emoji23][emoji91]
Kamtoe mropokaji slaa jela ananyea ndooMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono [emoji23][emoji91]
Kwani siri za vikao zinahusiana vipi publicHawa wameishiwa content. Kukopeshana kunahusiana vipi na swala Zima la uchaguzi wa CHADEMA?
Tuwekee kanushoAlishakanusha siku nyingi,huyu jaluo ni tapeli tu.
Fala wewe wenje ana masters syo pouoyo kama weweKumbe ni mualimu wa diploma tu.
Liko humu humu tafuta usiwe mvivuTuwekee kanusho