Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Habari sanaNti nti nti
Sio poaHabari sana
Ngoja tuoneSio poa
Wapambe wa Mbowe walishachanganyikiwa.Wenje naona Kuna kitu hakiko sawa kwake nadhani ni PRESHA ya Uchaguzi inamzidia,
Akiwa Wasifi TV alituambia ni Lissu aliyeasisi Maridhiano na moja ya sharti alilotoa kwa Rais Samia ni kumwachia huru Freeman Mbowe bila masharti,
Sasa kama alitaka Freeman Mbowe aachiliwe halafu wakati huo huo anafanya njama za Mapinduzi na uasi unataka sisi wasikilizaji wako tuamini lipi?
View attachment 3203438
MImi naona ni vitu viwili tofauti Mapinduzi na kuomba mbowe aachiwe ni vitu viwili tofautiWenje naona Kuna kitu hakiko sawa kwake nadhani ni PRESHA ya Uchaguzi inamzidia,
Akiwa Wasifi TV alituambia ni Lissu aliyeasisi Maridhiano na moja ya sharti alilotoa kwa Rais Samia ni kumwachia huru Freeman Mbowe bila masharti,
Sasa kama alitaka Freeman Mbowe aachiliwe halafu wakati huo huo anafanya njama za Mapinduzi na uasi unataka sisi wasikilizaji wako tuamini lipi?
View attachment 3203438
Swali la msingi sana japo Mimi sio CHADEMAWenje naona Kuna kitu hakiko sawa kwake nadhani ni PRESHA ya Uchaguzi inamzidia,
Akiwa Wasifi TV alituambia ni Lissu aliyeasisi Maridhiano na moja ya sharti alilotoa kwa Rais Samia ni kumwachia huru Freeman Mbowe bila masharti,
Sasa kama alitaka Freeman Mbowe aachiliwe halafu wakati huo huo anafanya njama za Mapinduzi na uasi unataka sisi wasikilizaji wako tuamini lipi?
View attachment 3203438
Konyagi na K Vant zinafuta sana kumbukumbu kichwaniWenje anajichanganya sana halafu hana kumbukumbu sahihi
Wenje anamdhalilisha sana Rais wetuKonyagi na K Vant zinafuta sana kumbukumbu kichwani
Nti nti balaaNti nti nti