Malkia alikuwa na uwezo mkubwa wa kiakili, alifanya reformation kubwa sana baada ya kifo cha Baba yake na kuwafanya watu wamwamini tenaHao Wafalme na Malkia nani alikwambia walikuwa na akili nyingi?
Mtoa mada hazungumzii viongozi, anazungumzia majasiri nawenye akili nyngi
Sasa hao watano wa kwanza nao walikuwa magenius?hao wote huwezi kuwaweka kundi moja na Stephen Hawkins amabye IQ yake inasemekana ilikuwa 160,ambapo katika dunia hii ni kama percent 0.0003% ndio wanaweza kuifikia hiyo...?Kuna Billy Graham zaidi ya miaka 80
David Wilkerson
Prince Philip 99
Queen Elizabeth 96
Reinhard Bonnke 79
Stephen Hawking 70+
Vipi kwa mtazamo wako nini kinasababisha hali hiyo? Tunapenda kupata mtazamo wako chiefNaunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.Vipi kwa mtazamo wako nini kinasababisha hali hiyo? Tunapenda kupata mtazamo wako chief
Si useme tu wanauliwa?Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.
p
Angalia familia zilizokuwa na mtu Angeweza fanya Mabadiliko makubwa... Asipopigwa magonjwa watamvuruga kama sio kumkata.
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Unataka kupingana na Kauli ya Mzee Makamba kuwa wema hawafi.
IQ haipimi kuwa na deep understanding ila uwezo wa kuelewa haraka, Hawa watu watano wa apo juu walikuwa na deep understanding kuhusu mambo Yao na wamefanikiwa kufanya makubwa kwenye maisha Yao, wameacha alama.Sasa hao watano wa kwanza nao walikuwa magenius?hao wote huwezi kuwaweka kundi moja na Stephen Hawkins amabye IQ yake inasemekana ilikuwa 160,ambapo katika dunia hii ni kama percent 0.0003% ndio wanaweza kuifikia hiyo...?
Kuna kitabu kimoja kinaeleza "why the good die young "Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Lile Shetani la Chato lilikufa kifo kibaya kabisa kwa sababu ya kutumia akili na nguvu nyingi kutaka kututesa na ndo mana liliishi muda mfupi na kisha kufilia zake mbali kizembe kabisa kuwahi kutokeaUsibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Mwnyi Leo katumiza miaka 98 , anasema hajawahi kutoa rushwa kupata madaraka popote.Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Na ana afya tele. Hajui kununanuna kama lile shetani lenu tulilolifukia Chato. Lile Jitu na nyie wafuasi wake mlitamani sana kifo cha JK ila hamkujua tu "watu wemw hawafi"Ndo maana lile ZEE LA MSOGA halifi.
Hii ni ishara kwamba dunia yenyewe by nature haipendi wema that's why force of nature huonekana zinakinzana na hawa binadamu hivyo kusababisha binadamu kufa na kuiacha dunia iendelee kuflow kwenye hali yake ya ubaya bila mkwaruzano😄Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.
p
Ulianza vizuri,umemalizia vibaya.jpm na etc ndo kina nani hao??Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p