Master Oogway
Senior Member
- Jul 7, 2022
- 141
- 342
[emoji848]mwinyiUsibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Do u expect Nyerere na miaka yake 100 sasa hv awe hai?Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
NDiyo !! Ukitaka uishi maisha marefu usiguse maslahi ya watu kamwe !! Hata Yesu ISSA bin Mariam alisulibiwa kwa sababu aligusa maslahi ya watu ( makuhani ) na ibilisi .ni hatari sana ukigusa maslahi ya watu in negative way!! Mabeberu huwa wanainyonya Africa kupitia wafrixa ambao siyo wazalendo tena maskini na wenye roho ya kujipenda wenyewe. Wenye akiri na kufikiri sana wanakufa mapema kwa sababu ya stress eg JPM, wengine njama za ibilisi ( sokoine) nKUsibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Kama Nani ?!Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Siyo yeye alifanya!Malkia alikuwa na uwezo mkubwa wa kiakili, alifanya reformation kubwa sana baada ya kifo cha Baba yake na kuwafanya watu wamwamini tena
Na wewe unachanganya huyo Yesu Issa Bin Mariamu ndo nani? Leta habari za watu wanaofahamika.NDiyo !! Ukitaka uishi maisha marefu usiguse maslahi ya watu kamwe !! Hata Yesu ISSA bin Mariam alisulibiwa kwa sababu aligusa maslahi ya watu ( makuhani ) na ibilisi .ni hatari sana ukigusa maslahi ya watu in negative way!! Mabeberu huwa wanainyonya Africa kupitia wafrixa ambao siyo wazalendo tena maskini na wenye roho ya kujipenda wenyewe. Wenye akiri na kufikiri sana wanakufa mapema kwa sababu ya stress eg JPM, wengine njama za ibilisi ( sokoine) nK
Sisi huwa tunaingiza Udini ndo maana unaona hapo tulivyoandika wa dini yetu wote tumewaandika mazuri ila dini yenu ndo tumechagua mabaya. Huwa tunaelekezwa hivyo misikitini. So usimlaumu jamaa maana hata Elimu huwa inakuwa tatizo kwetu.Hospitali zimejengwa na Mh Samia au JPM ? Ebu kuwa mkweli aisee.SGR ,Bwawa la Nyerere,vivuko,Barbara vimejengwa na Mh Rais Samia? Kuwa mkweli aisee. Ndege Zote zile zimenunuliwa na mama Samia? Siyo kwamba nampinga Samia lakini wema wa JPM lazima usemwe hata kama alikuwa msukuma mshamba!! Tabia mbaya ambayo sipendi kwa wasukumu ni kujipendekeza na kupenda misifa. Lakini pia sidhani kama kifo Cha JPM ni natural death.
Ongezea hapa!Einstein alikufa na miaka 76.
Tesla miaka zaidi ya 80+.
Nelson Mandela 95Kuna Billy Graham zaidi ya miaka 80
David Wilkerson
Prince Philip 99
Queen Elizabeth 96
Reinhard Bonnke 79
Stephen Hawking 70+
Nelson Mandela alikuwa jasiri sana na akili nyingi mno!Hao Wafalme na Malkia nani alikwambia walikuwa na akili nyingi?
Mtoa mada hazungumzii viongozi, anazungumzia majasiri nawenye akili nyngi
Alifika miaka 100.Billy Graham zaidi ya miaka 80
Hapa mtu ni huyo wa mwisho tuu Hawking..Kuna Billy Graham zaidi ya miaka 80
David Wilkerson
Prince Philip 99
Queen Elizabeth 96
Reinhard Bonnke 79
Stephen Hawking 70+
Ni kweli kabisa, kasoro mwezi mmoja hivi. Aliishi tangu 1918-2018Alifika miaka 100.
Hujaelewa mada mkuu,soma tena ndio uje uchabgieKuna Billy Graham zaidi ya miaka 80
David Wilkerson
Prince Philip 99
Queen Elizabeth 96
Reinhard Bonnke 79
Stephen Hawking 70+
Humtaji Ben Saanane kwa sababu ya unafiki au kwa vile hakuwa chama chako?Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.
p
Sio kila mwenye akili anakufa kijana. Mandela amekufa akiwa na zaidi ya miaka tisini. Nyerere alifariki akiwa na miaka 77 hakuwa kijana.Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.