Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Yupi wa kwetu alitumia akili nyingi kulikomboa taifa? soma historia ya ukombozi wa tanganyika kwanza
 
Exceptions zipo of course.
 
Huu ndio uchawa wenyewe, mnasahau kuwa Samia na JPM wote wawili ni wana CCM wenye kutekeleza sera za chama hicho.
 
Hakika kabisa !!
 
You nailed it !!
 
Na ana afya tele. Hajui kununanuna kama lile shetani lenu tulilolifukia Chato. Lile Jitu na nyie wafuasi wake mlitamani sana kifo cha JK ila hamkujua tu "watu wemw hawafi"
Angalia kaburi la mzazi wako hapo pembeni lipo
 

Hii ni kweli
 
Yani Mungu Akupe Umri, pesa na maisha tena marefu aaah wewe lazima kingine wapewe wengine
 
Unataka kumaanisha kuwa rais wa kwanza, watatu na wa tano walikuwa wanatumia akili sana? Wee vipi?
 
Si umeona KAMA akina nape wovyonenepeana mkuu yaani wizara anayoisimamia hata mtoto wa form 2c anaweza tena kwa ufanisi mkubwa sana
 
Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Nyerere na Mkapa walikufa wakiwa siyo marais bali wastaafu. Magufuli ndiye alikufa akiwa Rais lakini hakuwa na akili. Bali alizungukwa na maradhi sugu kama Kichaa, Diabetes, HIV, Herpes Zoster, na kifaa cha kuongeza mapigo ya moyo (defibrillator) kilikuwa kimechakaa. Hivyo COVID-19 ikapita naye kirahisi.

Ashukuriwe Mungu kwa kumuondoa yule shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…