Wewe ndo ume-quote tuu, hy comment sio kuhusu mada ila nimemjibu mtu kutokana na alichoandika, rudia kusoma comment ambayo ndo nme-quote hvy.?Mada ya uzi huu umesoma na ukaelewa,au ume-quote tu bwashee?
So tu kuwa wenye Damu iliyobarikiwa ya Group O ( GENTAMYCINE ) niliyonayo hatuugui tu UVIKO 19 ( COVID 19 ) bali hata tu Kuathirika na UKIMWI ( Dally Kimoko ) nayo ni ngumu na pia tuna desturi pia ya Kuishi miaka mingi duniani kwakuwa Magonjwa mengi huwa yanatuogopa sana Kutuingia Miilini mwetu ( kwetu )Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Buku mbili tu na ni nusu saakipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Ndio sisi sasa hatuumwagi hata na mafua. Kuumwa kwetu labda upate injury tu.Hao ndio wana wa Mungu
Joke
Nenda zahanati yoyote ukiwa na elfu tano tu mkononi.kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
lakin huwa wengi ni vichaaO negative ni habari nyingine hawasumbuliwi hata na stroke wala blood pressure.....
Alipigwa kwa 20000,kawaida huwa ni elfu mbili tu, ukikutana nawenye tamaa inaenda mpk 5000Kama umelipa hiyo isiyozidi 20000 kupima grup la damu bc nakupa pole.
Mimi nilipima mara tatu sehemu tofauti wakati tofauti na nina group 0+
sehemu ya kwanza na ya pili ni kwenye kuchangia damu na sehemu ya tatu ya binafsi wakaniambia kupima ni 5000 ila nikalia-lia pale wakanipima kwa 3000.
Ni kwamba kupima damu sehemu zote haizidi 5000
Sijalipa hiyo ila nme-quote comment ya jamaa aliyelipa hiyo 20kAlipigwa kwa 20000,kawaida huwa ni elfu mbili tu, ukikutana nawenye tamaa inaenda mpk 5000
kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Nafikir ni elfu 3-5 ....haivuki elfu 5 mkuukipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Na mimba pia msisahau.Tupo group moja Mkuu njoo inbox tupeane namba
Utakua si group O wewe,group O mbu mpaka anasema ametosheka damu.Leo ndo nimejua hii kitu, mimi ni group 0-, acid huwa inanisumbua sana, ila kwenye mbu sasa, mbu wanatushambulia balaa, unaweza kaa na mtu mwingine sehemu yenye mbu na wala hata asijitikise ila wewe sasa, mbu wanakushambulia balaa.
HahhahhahahahaMbowe ana group q
Kuna Bint alipoteza maisha kwa kukosekana damu group o-.Na kuongezewa damu ndio mpaka upate wa o- mwenzako
Mmasai auliwe na malaria????? Haipo hiyoUtakua si group O wewe,group O mbu mpaka anasema ametosheka damu.
Kuna baba yangu mdogo hana Malaria Tangu 1998 na anaishi Maisha ya ajabu sana,ila pia ni Masai sa sijui alikula dawa za wamasai zile maana nao sionagi malaria ikicheza nao
Dah nikweli mkuuWe huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....