Namna tu ulivyolea familia yako muda wa habari ni habari watoto wana muda wa kuangalia vipindiEti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili...
Taarifa ya Habari ina umuhimu gani?Waelekeze wanao umuhimu wa wewe kuangalia taarifa ya Habari.
Mpira nenda kaangalie Bar.
Ila mimi sina familia achilia mbali runinga.
Huu ni ujima sana kama sio ukatili.Baba kama Baba ukifika ndani watoto rimoti wanapaswa wakukabidhi wewe
Unaangalia unachokitaka hiyo ndo maana ya mtawala
Shida uzungu unawasumbua
Ukiwa haupo tv ni yao ila ukifika tv ni ya kwako
Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Safi sana nimeipenda hii πππππNikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.
Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.
Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.
Kuwa na taarifa ya mambo mbalimbali yaliyojiri ndani na nje ya nchi.Taarifa ya Habari ina umuhimu gani?
Una tivii moja nyumbani?Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?