Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

Watoto wana akili, ni kiwa train tu kwamba baba anapenda mpira. Basi wanajua kabisa anakuuliza baba kesho kuna mpira?, saa ngapi? Unamwambia ndio saa 3 usiku simba inacheza. Ratiba za baba zinajulikana mbona.

Basi atakuwa huru, mpaka ikifika muda huo hata hashangai kuona umeweka mpira.

Kuna muda inabidi uwe flexible uangalie nao hicho hocho wanachoangalia kwa kuwasapot tu huku unaulizia kabisa imekuwaje pale? Mtoto anakupa ufafanuzi fresh tu. Ni njia nzuri ya kutenga muda kuwa nao hata kama utakuwa biz na simu na laptop.
Umenikumbusha Jana mwanangu alikua anaangalia cartoon ambayo haiongei kingereza.Na Hamna subtitles.Nilicheka eti ananitafsiria kwa kingereza namuuliza umejuaje ushawahi kuona ya kingereza,ndo kunijibu ndio.
 
naonahumu wengi mnalea ma delicious nama sleyqween

nyie mngelelewa hivyo sijui ingekuwaje

mtoto kaziyake kujifunza masomo,dini nakazi ndogondogo kama kufagia,kupika,kuosha vyombo,na kilima japo bustani yamboga na matunda pia ukiweza unamuwekea japo kuku wawili ajifunze kufuga

Sasa wewe lafikiyangu unanunua tv mbili Ili ukirudi usiwakere hao misukule wako wakiwa wanaangalia katuni

Yani muda wakuwapa watoto maarifà wewe unawajaza katuni kichwani☹️☹️☹️
 
Ndo ukifanya hivyo bas hawatakua upinde? Wee umevurugwa? Nawee ni baba wa familia kww akili hizi?
watoto lazima walelewe kwenye maadili ya kitanzania sitaki mmoja aje kuwa kama wewe ambae unaonekana kabisa ulilelewa na mama yako tu...kwasababu mwanamke alielelewa kwenye familia yenye maadili hauwezi kukumkuta humu akawa tena anaweka comment kama zako zenye viashiria vya kujiuza
 
naonahumu wengi mnalea ma delicious nama sleyqween

nyie mngelelewa hivyo sijui ingekuwaje

mtoto kaziyake kujifunza masomo,dini nakazi ndogondogo kama kufagia,kupika,kuosha vyombo,na kilima japo bustani yamboga na matunda pia ukiweza unamuwekea japo kuku wawili ajifunze kufuga

Sasa wewe lafikiyangu unanunua tv mbili Ili ukirudi usiwakere hao misukule wako wakiwa wanaangalia katuni

Yani muda wakuwapa watoto maarifà wewe unawajaza katuni kichwani☹️☹️☹️
Wanamlaumu papa bure tu mimi nyumbani kwangu watoto wanaisogelea tv kwa ajili ya taarifa ya habari tu na ikiisha inabidi wanisimulie kila mmoja kuhusu habari waliyoiiona na kila nikirudi nawabebea magazeti wayasome na wakishasoma huwa nawauliza pia wanieleze kilichoandikwa,kuamka iwe likizo au weekend ni saa 12 hiyo ni amri nafanya hivyo kwasababu role model wa maisha yangu ni baba yangu mzazi laiti angekuwa analeta demokrasia kwenye malezi yetu tusingefika hapa tulipo
 
Wanamlaumu papa bure tu mimi nyumbani kwangu watoto wanaisogelea tv kwa ajili ya taarifa ya habari tu na ikiisha inabidi wanisimulie kila mmoja kuhusu habari waliyoiiona na kila nikirudi nawabebea magazeti wayasome na wakishasoma huwa nawauliza pia wanieleze kilichoandikwa,kuamka iwe likizo au weekend ni saa 12 hiyo ni amri nafanya hivyo kwasababu role model wa maisha yangu ni baba yangu mzazi laiti angekuwa analeta demokrasia kwenye malezi yetu tusingefika hapa tulipo
malezi yakumuacha mtoto afanye anacho penda nimabaya sana mkuu.
 
Baada ya kupitia koment za wadau wengi nimegundua kwamba sikuhizi sisi ni 'dads' na sio fathers.

Yaan tunashindwa kusimamia malezi mazuri ya watoto eti kisa watanuna? No way, ndio maana tunalalamika maadili mabovu ya watoto wa sikuhiz kwasabab sisi wazaz tunawaogopa watoto


Tubadilike.
 
Back
Top Bottom