Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

Nikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.

Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.

Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.
Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewa
 
Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewa
Wote tumeongelea makwetu.

Wewe ni kwako una sheria zako na mimi ni kwangu nina sheria zangu.

Utakuja kustaajabu hao unaowasomesha magazeti wakawa upinde kwa haraka zaidi pale itakapobidi kwenda kwa jirani kuangalia vile ambavyo vinalingana na umri wao ambavyo hawavipati nyumbani kwao, kuishia kufanyiwa/kufundishwa maovu kuliko hao wanaoangalia TV katika usalama wa nyumba yao.

Wengi wetu tunaamini kuwa ukali na ukoloni ndio malezi bora kutokujua kuna uwezekano wa kuwa na watoto wenye nidhamu bila hata ya mzazi kuwa mkoloni.
 
Wote tumeongelea makwetu.

Wewe ni kwako una sheria zako na mimi ni kwangu nina sheria zangu.

Utakuja kustaajabu hao unaowasomesha magazeti wakawa upinde kwa haraka zaidi pale itakapobidi kwenda kwa jirani kuangalia vile ambavyo vinalingana na umri wao ambavyo hawavipati nyumbani kwao, kuishia kufanyiwa/kufundishwa maovu kuliko hao wanaoangalia TV katika usalama wa nyumba yao.

Wengi wetu tunaamini kuwa ukali na ukoloni ndio malezi bora kutokujua kuna uwezekano wa kuwa na watoto wenye nidhamu bila hata ya mzazi kuwa mkoloni.
Unajua kwanini hata uwe kichaa vipi lazima uiogope kambi ya jeshi?
 
Eti?

Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?

Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.

Hujisikii vibaya?

Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Ndani naingia SAA usiku 5 natoka SAA 11 aaubuhi

Labda jpili nazuga zuga saa7 napotea tena mpaka saa5
 
Eti?

Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?

Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.

Hujisikii vibaya?

Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
kwangu mimi ni ww3,watu wananuna hatari.
 
Unajua kwanini hata uwe kichaa vipi lazima uiogope kambi ya jeshi?
Sioni uiano wa swali lako na mada husika ila naamini kuna unachokijua ambacho kidhati hasa sihitaji kukijua.

Kikubwa kila mmoja aamini anachoamini bila kuhukumu mwenzie ili tu maisha yaendelee.

Uwe na weekend njema chief. Peace✌️.
 
Eti?

Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?

Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.

Hujisikii vibaya?

Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Mkuu vijiwe vya GAHAWA vipo
 
h
U


Ukiwa na watoto basi hata hiyo tv ni mali ya watoto lazima wafurahi wakiwa home mzazi anapaswa kujali furaha ya watoto sio kujijali yeye kama vipi anunue nyingine aweke chumbani
iyo
Nyumba standard inatakiwa si tu kuwa na TV zaidi ya moja, bali hata sebule zinatakiwa kuwa zaidi ya moja. Kuruhusu watoto wakae sebule yao wakaangalia vitu vyao, na wakubwa wakakaa sebule yao wanaangalia vitu vyao.

Halafu hizo TV inatakiwa kila chumba kiweze kuwa na TV yake.

Yani ikibidi mpaka jikoni mtu akitaka kupika huku anaangalia vipindi vya mapishi aweze kuwa na ki TV cha kiushkaji cha jikoni.
sasa sisi wenye chumba kimoja na sitting room moja itawaje mkuu?
 
Unawaandaa hao wakina junior kuwa upinde wa baadae,,, kwangu ni marufuku kuwasha tv wakati hakuna taarifa ya habari na wakishaangalia taarifa ya habari inabidi wanisimulie na nikirudi jioni nawabebea magazeti wayasome na wanisimulie walichokielewa
Itakuwa mkurya wewe😃😃😃😃.

Naamini hata vipaja vya kuku na firgisi ni kwa ajili ya baba tu nyumbani kwako.
 
Acheni ukiritimba na ubeberu [emoji3525] lazima uwe fair kwa watoto wako ukiwa fear nao watafurahia na watakubaliana na wewe kuangalia unachotaka muhimu ni kutumia kauli nzuri kwa watoto wako watawale kisaikolojia sio kwa ubabe
Nje ya mada.

John naweza kupata kuku wa kienyeji wa kula.
 
Back
Top Bottom