Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wew kama kama unataka taarifa ya habari tumia simu au kama ni mpira nenda kaungane na masela huko utaeje home kucheck mpira na watoto huo nao ni ukatili kuangalia vitu ambavyo watoto hawaelewi 🤗Ndiyo Mkuu.
Huna smartphone?Ndiyo Mkuu.
DinnerKwahiyo muda wa kukaa na familia yako ni upi?
Watoto TV mwisho saa Tano asubuhi,unafugaje mitoto inalelewa na TV kutwa?Nikishakubali matokeo kuwa kwangu Tv ya sebuleni sio mali yangu.
Nashukuru Mungu niliweka TV chumbani. Ninachotaka kuangalia nakiangalia chumbani kwangu. Huko sebuleni ni Nickelodeon na Cartoon Network.
Ningeweza kutumia ubabe wa ubaba lakini sioni faida yake. Ikiwa nipo hai acha wanangu wa enjoy nyumbani kwa baba yao.
Pongezi ziende kwa mke wangu kwa kulea wstoto kwa nidhamu ya hali ya juu, the moment nikiingia sebuleni na kukaa wanangu wananiletea renote haraka yule mdogo ananiwashia ch 406 au 224 225 dstv na wanaondoka zao kucheza ps.Eti?
Unarudi nyumbani unakuta watoto wanatazama katuni zao kwa raha zao, au tamthilia pendwa za kike..... unawezaje kubadili chaneli bila kuonekana katili?
Tuseme muda wa Taarifa ya Habari, au hata mechi pendwa za soka..... ukibadili channeli watoto hao wanakukimbia sebuleni unabaki mwenyewe.
Hujisikii vibaya?
Hapa ndo umuhimu wa kupitia maeneo fulani kabla ya kurudi nyumbani, wenzetu mnawezaje?
Hapa watoto lazima wakimbie wote wataenda kuangalia kwa majirani hadi mkeo ataenda anako juwa yeye akaangalie tv kama hali ndio hii 😂😂😂
Watoto TV mwisho saa Tano asubuhi,unafugaje mitoto inalelewa na TV kutwa?
Hiyo ya kulelewa na TV kutwa Haina adabu,haijui tebo,Haina uwezo wa kujifunzia darasani,ndiyo maana ni mitoto😂😂 Mitoto!!
Hili ndio wazo la msingi, kwanza siku hizi ukiwa na smartphone huna hata haja ya kuangalia taarifa ya habari maana ni kama marudio tu.Nunua TV weka chumbani kwako.........
Ndiyo ukweli...yaan watoto waijue mipakaBaba kama Baba ukifika ndani watoto rimoti wanapaswa wakukabidhi wewe
Unaangalia unachokitaka hiyo ndo maana ya mtawala
Shida uzungu unawasumbua
Ukiwa haupo tv ni yao ila ukifika tv ni ya kwako
Hiyo ya kulelewa na TV kutwa Haina adabu,haijui tebo,Haina uwezo wa kujifunzia darasani,ndiyo maana ni mitoto
Eeeh hizi ndo zile mshua wamemletea kelele job anatafuta pa kuzimalizia mbaya zaidi iwe kipindi kama hiki mmetoka kumaliza mitihani ukitest ukalale ndo unaitwa we leta matokeo.Ukiwa dingi wa kiafrika unatakiwa uweke chanel ambayo nyumba nzima hawapendi alafu we mwenyewe huangalii unasinzia ila wakibadilisha tu chanel unashtuka usingizi unaisha alafu unawaambia rudisha haraka.
Ndiyo ukweli...yaan watoto waijue mipaka
Hii tabia naiona sana hata hapa kwa shemeji mume wa dada. Yaani ananikuta naangalia tv yeye anasema tutoe aangalie mahabari.Kama mimi ndo mtoto huwa najiskia vibaya sana..
Mfano father yeye akija tuu
""Weka TV iman hapo mnaangalia angalia miziki ndo mnajifunza nini ""
Mda huo mtakaa ndani kimya
Mkuu umemaliza kila kitu. Demokrasia ndio inafanya mpaka tupate mashoga na wasagaji.Baba kama Baba ukifika ndani watoto rimoti wanapaswa wakukabidhi wewe
Unaangalia unachokitaka hiyo ndo maana ya mtawala
Shida uzungu unawasumbua
Ukiwa haupo tv ni yao ila ukifika tv ni ya kwako
Hii tabia naiona sana hapa kwa shemeji mume wa dada. Yaani ananikuta naangalia tv yeye anasema tutoe aangalie mahabari.Kama mimi ndo mtoto huwa najiskia vibaya sana..
Mfano father yeye akija tuu
""Weka TV iman hapo mnaangalia angalia miziki ndo mnajifunza nini ""
Mda huo mtakaa ndani kimya
Piga marufukuDah ila ndio hivo watoto siku hizi itabidi wakae shule tu wakiwa home ni shida kichwa kinakuwa empy ila wanakuwa wamejaza tamyhilia tu 😂
Yaan mtoto akimwona mkubwa abehave....siyo mtoto anakutawala mpaka aibu kwa wageniMipaka kwenye TV 😂😂 yaani chumbani muweke mipaka hadi TV nayo 😂😂