Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Nahisi tofauti yetu mimi na wewe ni kuwa wewe una mitoto kama ulivyoandika. Mimi nina watoto.Watoto TV mwisho saa Tano asubuhi,unafugaje mitoto inalelewa na TV kutwa?
Sijui umetumia kigezo gani kuamini wanangu wanalelewa na TV kupitia comment yangu moja tu. Sitohoji hilo maana ni bundle lako, simu yako na fikra zako umetumia kuandika ulichoandika.
Hakuna formula ya kulea mtoto
Iliyoainisha kuwa Tv mwisho saa 5 asubuhi. Inawezekana ni sheria yako, hai apply kwa kila mtu.
Comment ilijibiwa kwa ujumla, ukitaka mmeng'enyo wa muda hasa wa saa ngapi mpaka saa ngapi wanaangalia tv, basi nitafurahi kukuelezea.
Maisha yanatofautiana chief, usiishi kwa kukariri.