johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Private hospitals zimetoa Tangazo bwasheehili la bima chadema mnazua taruki kama ilivyo swala la sukari
sijui nini dhumuni lenu
hii haivumiliki ni wakati sasa limulikwe kwa kinaPrivate hospitals zimetoa Tangazo bwashee
Lakini usumbufu ulishaanza kitambo kwa Wategemezi
Mgao wa umeme umekwisha wapi huko?
si ukalipie tena kama ni bima imeisha πKwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
Shika adabu yako. johnthebaptist Ni jinsia ya ME na hata wewe unajua.Nakuomba ufafanue vizuri hoja yako dada yangu
Buzirayombo kwa kina Biteko.Mgao wa umeme umekwisha wapi huko?
Tangazo limejaa huko Xhii haivumiliki ni wakati sasa limulikwe kwa kina
japo hilo tangazo sina hakika kama lilitoka
Chibuku ya unga bado ipo? ππsi ukalipie tena kama ni bima imeisha π
na ndio utaratibu π
Mi mwenyewe nashangaa...Mgao wa umeme umekwisha wapi huko?
ni package mpya ya bima right πChibuku ya unga bado ipo? ππ
Siyo wote wanatumia huo mtandao.
Weka hapa au eleza kwa kifupi tangazo limetolewa na Nani na linasemaje.
Saa mia moja mbovu kanunua saa za thamani ya bil1 tshKwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
Hao wengine ni chawa waamimifu hata wawapo gizani hupenda kudai Wako vizuriMi mwenyewe nashangaa...
Mwenzetu atuambie anaishi wapi?? Au nje ya tz?