jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kimsingi mzee baba wewee sio mchimbaji..wewe ni dalali tu huko..tena dalali wa kuhamasisha matajiri waje muwapige hela zao.Napendaga sana kuulizwa vitu kama hivi?
1:nimejibu pitia comment za hapo juu nimesema hivi ni mwambao wa ziwa nyasa kwa kupitia njia ya mbinga
2kwa upande huu hawaangalii mgeni anaye ingia ila utalipia getini buku mbili toka hapo utakuwa unalipia buku tano kila jmos kama mchimbaji mfanyabiashara kila mwisho wa mwezi buku ten
Majibu yake bado hayatoshi,anaelekea si mzoefu kwenye sektaUmejibu maswali mawili tu pitia na hayo mengine
Yeah... Kifupi maelezo yake hayajatimia kbs pengine ni safari anazokunywa labda zikiisha kichwani ataongea kitu cha kueleweka lakn mpaka hapo namuona si mchimbaji japo yote yanawezekanaMajibu yake bado hayatoshi,anaelekea si mzoefu kwenye sekta
Haaahaa duh hatari sasa msichokielewa ni kipi kumbe mnauliza maswali majibu mnayoYeah... Kifupi maelezo yake hayajatimia kbs pengine ni safari anazokunywa labda zikiisha kichwani ataongea kitu cha kueleweka lakn mpaka hapo namuona si mchimbaji japo yote yanawezekana
Mimi sio mchimbaji nipo huku kama mzaniMajibu yake bado hayatoshi,anaelekea si mzoefu kwenye sekta
Asipojibu swali hili kwa ufasaha atajidhihirisha ni mpigajiM
Msumbiji sehemu gani?
Vipi swala la mpakani? Ktk kuingia na kutoka na dhahabu?
Umemtaja mwenye eneo pekee vipi kuhusu mwenye leseni?
Uchimbaji huko ukoje? Ni mgodi wa mwamba au ni maveini? Kama ni veini vp kuhs upatikanaji wa maji na kama ni mwamba nyuzi inapatikana ktk mizamo mingapi na duara zilizofika mfuko unasoma gram ngapi? Vipi kuhs matumizi ya milipuko na jeki hammers?
Tunatarajia karibuni mvua zitaanza ktk maeneo mengi ya hapa kwetu tz? Vp kwa historia ya msimu uliopita huko msumbiji kipindi cha mvua migodi inaathirika kwa kiasi gani?
Kubwa purity % ya dhahabu ya huko ni ngapi??
Atae pigwa mjinga huwezi mtumia mtu pesa bila kujithibitishia kwanza sijasema mnitumie mm nimesema njooni tuwekeze hukuKuna watu watapigwa hapa
Ungekuwa. Karibu ningekutia likibao na hizi pombe ungependaKimsingi mzee baba wewee sio mchimbaji..wewe ni dalali tu huko..tena dalali wa kuhamasisha matajiri waje muwapige hela zao.
Jibu maswali ya mwamba kwa ufasaha acha kukwepa kwepa...kama hujui sema tu unaogopa nini.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu nijibi vipi muelewa labda ungetoa mfano mana nimejibu weee mpaka nimekonda sijui uelewa mdogo au mnajitoa ufahamu mana tukitoa maelezo marefu sana mtasema unatoa gugo nikiwaambia kifup maelezo hayatoshiAsipojibu swali hili kwa ufasaha atajidhihirisha ni mpigaji
Vijana wa kitanzania wa hovyo wao huwaza kutapeliwaNgoja waje mpeane miongozo...
[/QUOTE]Uliza ww nitakujibu mana una hekima yule mwenzako v yupo kwaajili ya kutafuta makosa kama wale mafalisayo kwa yesu sasa mm mtu nikikujua upo wa hivyo lazima tuzinguane karibu mkuu nitakujibuFanya basi kujibu maswali yote aliyouliza vidmate ili tukikucheki pm maswali yasiwe mengi mengi
Dar Porini watu wanapiga Pesa ila sijui kama ni level hizo Kwa siku. Kesho nitauliza wadau hapo Songea.Yap Mkuu nazan ushawishi kuja dar pori