Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
 
Anza na ubalozi wa marekani waliomtangaza kwamba anadhurumu watu haki ya kuishi na kumpiga marufuku kwenda huko marekani...
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
 
halafu wewe hapa ukiwekewa ushahidi utaufanyia nini? unadhani DPP hawezi kupata au hana huo ushahidi kiasi kwamba auombe hapa? ni serikali haijaamua tu. Chukua mfano kwa Sabaya,baada ya serikali kuamua,kuna ushahidi ulikosekana?
halafu wewe hapa ukiwekewa ushahidi utaufanyia nini? unadhani DPP hawezi kupata au hana huo ushahidi kiasi kwamba auombe hapa? ni serikali haijaamua tu. Chukua mfano kwa Sabaya,baada ya serikali kuamua,kuna ushahidi ulikosekana?
Acha kujibu legal issues kama unajadili Simba na Toto Africans
 
Ubalozi wa Marekani wanasukuma ajenda yao kidiplomasia, kupitia taasisi za kidiplomasia, na wanawapa ushahidi jinsi Makonda alivyodhulumu haki ya kuishi (kaua), mama anawekewa ushahidi mezani, na Kila siku wanaulizia hatua zilizochukuliwa.

Bado mambo mengi yasiyo na idadi. Nina imani Ofisi ya uhasibu ya mkuu wa Mkoa ikipekenyuliwa, hachomoki, akifanyiwa life style audit, hachomoki, akifanyiwa audit ya Mali vs mshahara, hachomoki
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa marekani ushahidi wa wapi makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo...
Hayo klauzi tivii mbona hakushughulishwa nayo badala yake akaukumia aliekuwa anataka haki itendeke, kwanini hili watu hamkuhoji?
 
Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.
Hivi zile CCTV cameras zilizokuwepo kwenye zile nyumba za viongozi kwenye yale makazi ya akina Lissu, Kalemani na Tulia Akson ziko wapi? Unafikiri Lissu ndiye alizichomoa akiwa mahututi?
 
HUYU MTU SERIKALI INA KILA KITU IKAAMUA TU KUMPELEKA MAHAKAMANI WATAMNYONGA.

NA NI SUALA LA MUDA TU BASHITE HANA MAISHA MAREFU KWENYE POLITICAL EXPERIENCE.

Pia ana kaushamba fulani hivi hii kupost Insta kulalamika ni kukoleza 🔥.

Ndo alichokifanya Sabaya kwenda clouds.

Kwanini Bashite anafanya hivi ni baada ya kuomba access ya kukutana na Mama Kukataliwa saiv anatapatapa.

Na Mama hana tatizo ila tatizo liko kwa Deep state. Deep state wamekaza hawataki mazoea na Bashite coz now ni kama gunia la mavi ukilibeba lazima unuke.

Na Bashite ana nuksi watu wote aliowafanyia fitina leo hii ni prolific gentlemens of the state.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa...
Wakileta huo ushahidi unistue mkuu
 
Back
Top Bottom