Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
HAO jamaa Wana ushahidii ukiutaka utaumbuka
 
Soma vizur andiko la Pompeo acha taarabu.sheria unazodai kuzitumia leo ndio hao kina makonda walizitumia kumiza watu! Unaweza kutuambia makonda aliyetaja na kuwachafua watu kwa madawa ya kulevya kwa kutumia sheria gani?
Unaweza kutwambia pesa za kuwapa kina kasema na wachezaji wa simba alikuwa anazipata wapo na aligawa kwa sheria gani?
Unadai ushahidi wakati watu wamemiminiwa risasi kama wezi? Unadai sheria na ushahidi wakati kuna wazzi wa kina ben Sanane hawajui watoto wao walipo na hakuna kilichofanyika hadi leo?
Mpeleka utahira wako lumumba! Makonda lazima alipe maumivu aliowasababishia watu!
Hata sabaya mlimtetea, leo yupo wapi?
Makonda alichukua kandarasi ya kuangamiza wote wali mchalenji yule mzee, akahisi jamaa ni Mungu naye ndio msaidizi, kwa hiyo aliwaua na kuteka. Lipo hapo linafikiri hatujui alichofanya,wote mnafahamika hadi yule dereva wake Jose, mnavamia clouds utafikiri wajinga. wale Askari kikosi kazi walikuwa hawapendi yale Ila basi tu, walilipwa marupurupu makubwa
 
HAO jamaa Wana ushahidii ukiutaka utaumbuka
Mimi sijadai ushahidi wti kwa sababu nina uhakika haupo laa hapana.

Mimi ninachotaka huo ushahidi uwepo ili mtu ahukumiwe kwa uadilifu.

Sioni haja ya kupiga kelele mitandaoni waati mahakama zipo.

Mahakama zimemhukumu sabaya na makonda inawezekana akahukumiwa pia.
 
Hakuna kazi kubwa Kama kumtetea shetani.
economist hii comment yako imenifanya nicheke, kwani kuna hekaya tulisimuliwa ya mtu aliyejifanya kumtetea shetani mwishowe aliumbuka. Kisa chenyewe ni kilimhusu jamaa ambaye alikuwa kwenye ibada ya hija huko Makka, miongoni mwa taratibu za hija kuna wakati inabidi mwende sehemu na kuashiria kama kumpiga shetani mawe, sasa huyu jamaa aligoma kwenda kwasababu anasema watu wanafanya makosa na wanamsingizia shetani, hivyo yeye hana haja ya kumlaani shetani kwa kitenda cha kuashiria kuchukiwa kwa kurushiwa mawe, siku hiyo alilala na akamjia Shetani kwenye ndoto na kumwambia katika dunia yeye ni mtu pekee mwenye kumtetea Shetani, hivyo basi alimwambia nitakufanyia chochote unachotaka lakini tu amfanyie haja ndogo kichwani mwake, yule jamaa akafanya, alipoamka asubuhi akajikuta amejikojolea kwa hasira ikabidi akusanye mawe kwenye toroli ili akamvurumishiye shetani.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Nimeanza kuamini Makonda anahusika na vifo vya watu wengi sana awamu ile fedhuli ya JPM. Sasa ni wakati wa HAKI kutendeka!
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Utakubali CIA au FBI wakitaka kuruhusiwa kufanya kazi yao?
 
images (13).jpeg
images (14).jpeg
images (14).jpeg
 
Back
Top Bottom