Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Wenye ushahidi namna Paul Makonda alivyohusika kwenye utekaji, mauji na upigwaji risasi Lissu tuwekeeni hapa. Kuchafuana kisiasa ni ushamba

Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae atakuwa na ushahidi usio kuwa na shaka wa ufisadi wa Makonda atauweka hapa. If anything huo ushahidi hivi sasa uko kwenye vyombo vinavyohusika!! Hivi wewe kweli unadhani Marekani wangempiga marufuku Makonda kuingia nchini mwao bila ushahidi wa kuwa ni muhalifu?

Nyie wapambe mnaomlia hela zake ndio mnakuja na hizo thread za kijinga eti watu waweke ushahidi hapa, ili iweje? Mnamlia Bashite vijihela vyake vya mwisho mwisho kabla ya kufilisika hamna hata huruma!
Kisa tu wamerakani walisema ndio imekuwa kweli?

Viongozi wangapi walishawekewa ban na Usa kwa figisu ili wakubaliane na matakwa yao?

Hivi unajua hata Mwl Nyerere Wamarekani walikuwa wakimuita dikteta mkomunist?


Wewe weka ushahidi humu hata wmarekani walikuonyesha ushahidi ulio wa wazi.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.

Sukuma gang wame punic😂😂 tuliwaambia acheni kutumia madaraka vibaya. Yaani mlifika mpaka kutukama Padre na wachungaji wakati wa covid😂
 
Sukuma gang wame punic😂😂 tuliwaambia acheni kutumia madaraka vibaya. Yaani mlifika mpaka kutukama Padre na wachungaji wakati wa covid😂
Haya yanayoka wapi?
 
Kisa tu wamerakani walisema ndio imekuwa kweli?

Viongozi wangapi walishawekewa ban na Usa kwa figisu ili wakubaliane na matakwa yao?

Hivi unajua hata Mwl Nyerere Wamarekani walikuwa wakimuita dikteta mkomunist?


Wewe weka ushahidi humu hata wmarekani walikuonyesha ushahidi ulio wa wazi.

Wewe ulivyokuwa mpambe nuksi hata ukiambiwa Makonda alivamia CLOUDS MEDIA house utabisha na utataka uletewe ushahidi!! Sasa Watu wa namna yako huwa hamtumii akili kufikiri bali matumbo yenu hivyo ni afadahali kuepukani na ufala wenu.
 
Kwani Sabaya kufungwa ndio sababu kuwa alitenda kosa? Kuthibitishiwa kuwa Makonda alifanya uhalifu mpaka niwe prosecutor? Mbona watu kibao wanaonyeshwa walivyofanya makosa kupitia JF?
Sukuma Gang safari hii mmeshikwa pabaya, mlikula mkajisahau roho za watu sasa zinawarejea
1649867790895.png
 
Wewe ulivyokuwa mpambe nuksi hata ukiambiwa Makonda alivamia CLOUDS MEDIA house utabisha na utataka uletewe ushahidi!! Sasa Watu wa namna yako huwa hamtumii akili kufikiri bali matumbo yenu hivyo ni afadahali kuepukani na ufala wenu.
Naona unatafuta mabwana ili ubanduliwe kinyesi
 
Nashukuru mkuu P. Lakini sababu wanamchafua kupitia social media ni vyema wakatuwekea humu.
mnamtafuta mchawi wakati mnamjua?
Lissu alipigwa risasi, Akwilina, Azory Ben Saanane hebu acheni historia irekebishwe tuwajue ninyi si watu na Makonda wenu
1649868210582.png
 
Anza na ubalozi wa Marekani waliomtangaza kwamba anadhurumu watu haki ya kuishi na kumpiga marufuku kwenda huko Marekani...
Kiukweli haikuwa ubalozi. Ilikuwa ni juu zaidi, sana tu.
Ni serikali ya Marekani kupitia State Department ( wizara ya mambo ya nje) ilisema. Mike Pompeo ( secretary of state) - waziri wa mambo ya nje - alisema hivyo kwenye ile communique.
Kweli, mtu anatuhumiwa na taifa kama US kudhulumu haki ya watu kuishi! Haki nilishangaa na kuumia sana! Hatuwajui hao aliowadhulumu ni akina nani! Nafsi inaumia, tuliishi kwenye dhama mbaya.
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Hizo za ushiriki wake kwenye tukio la Tundu zilikwenda na Magufuli, kwanini usiwatake polisi na vyombo vingine vyenye wajibu wa kulinda raia na Mali zao zijitokeze kusema ni nani alihusika na lile tukio?

Wao wanafahamu mchezo mzima upivyokuwa, wanafahamu mipango ilifanywa wapi, na nani mpaka namba lilivyotekelezwa, Ila kwa amri kutoka "juu" ambako kwa sasa ni udongoni chato, walipigwa marufuku kuchunguza wala kukamata yeyote...

Kumbuka Muroto alianza mchakato wa kuchunguza tukio,na alizungumza na vyombo vya habari kuhusu tukio lenyewe, lakini muda mfupi baadaye aliufyata kimyaaaaaaa....
 
aise kuna watu wabishi, hivi hata video za Bashite akitukana na kutisha watu hadharani jamaa hajaziona. Magari ya kifari yaliyokua na plate namba na usajiri wa wafanyabiashara kisha yakaonekana yanaendeshwa na Bashite kisha ghafla yakabadilishwa plate number pia jamaa atabisha Bashite hakudhulumu watu. Kwa mshahara wa mkuu wa mkoa ananunua vipi magari 7 ya kuanzia million 500 kila gari ?!! Ebo !!
Hii nchi imejaa wajinga, mkuu.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Wewe siyo mahakama. Kaa kushoto.
 
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.

Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.

Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama na kushiriki atuwekee hapa.

Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Mbona Kubenea amepeleka haya mahakamani, basi acheni kumuwekea mikwara ibainike.
 
Argue sensibly and logically.

Unajua utofauti wa tuhuma na ushahidi? Makonda anatuhumiwa kuhusika kwenye utekaji, mauaji, upotezaji watu, kubambikia watu kesi na uporaji wa pesa na mali za watu kupitia cheo chake.

Kuna mazingira ya wazi yanayofanya atuhumiwe hivyo. Wananchi wengi kadhaa wanamtuhumu. Vyombo vya usalama vinamtuhumu. Marekani nayo inamtuhumu kwa kuwanyima watu haki ya kuishi.

Wenye jukumu la kufanyia kazi tuhuma wanajulikana. Wewe unasema walete ushahidi hapa. Wewe unataka walete ushahidi hapa, unataka ufanye nao nini? Au wewe ndiye Makonda mwenyewe, unataka uanze kuandaa defence?

Serikali itakapokuwa na dhamira njema ya kutaka waathirika watendewe haki, ushahidi utapatikana mahakamani. Kwani ushahidi wa Sabaya uliletwa hapa? Tuhuma dhidi ya Sabaya zilikuwa nyingi. Wapo watu waliokuwa wakikejeli, alipopelekwa mahakamani, ushahidi umepatikana au haukupatikana?

Ushahidi dhidi ya Makonda utakuwa mwingi kuliko hata dhidi ya Sabaya. Na Makonda, kwa uhakika ni mhalifu maradufu ya Sabaya. Ndiyo maana hata Sabaya alipokuwa akipora pesa za watu, alikuwa akitamka wazi, "hii inaitwa Makonda style".

Anayeshikamana na shetani, ni mwovu kama shetani mwenyewe. Endelea kushikamana na shetani.
Well said, Bams.
 
My friend, what you’re asking for is a tall order. Usipoteze muda kuutafuta huo ushahidi hapa JF, hutaupata. Hii sio juridical forum. Hapa tunaaminishana kwa kutumia “plausible” facts na arguments basi. Sisi tuna-connect the dots. Unapima mwenyewe.

Somo kuu mashabiki wa watawala mnalotakiwa kujua ni kuwa ukiwa na kiherehere sana, wewe ndio unakabidhiwa kazi chafu ili baadaye usukumizwe kirahisi ndani ya dampo. You become easily “expendable”.

Mwigulu alikuwa hivyo awamu ya nne na partly ya tano. Baadaye kama vile akajishtukia, akajirudi kiasi lakini rekodi ya kushika uchafu haifutiki kabisa.

Mpe ushauri nasaha Makonda jinsi ya kusurvive hii kadhia. Kumtafutia heshima hapa JF is an exercise in futility. He’s completely soiled up!
Futile! Kabisa.
 
Tukio la uvamizi Clouds na tukio la kumkwida Mzee Jaji Warioba yanatosha kumpoteza.

Hivi mtu aliyefikia wadhifa wa Mh Mzee judge Warioba hapewi walinzi wanaombatana naye kila mahali anapokuwepo kwenye public? Kama anapewa walikuwa wapi wakati Makonda anamkwida? Walichukua hatua gani kuhakikisha hakwidwi? Khalafu baada ya hapo Mh huyu akawa Mkuu wa Wilaya!!! Haya kama sio mazingaombwe tuite nini?!
 
Kiukweli haikuwa ubalozi. Ilikuwa ni juu zaidi, sana tu.
Ni serikali ya Marekani kupitia State Department ( wizara ya mambo ya nje) ilisema. Mike Pompeo ( secretary of state) - waziri wa mambo ya nje - alisema hivyo kwenye ile communique.
Kweli, mtu anatuhumiwa na taifa kama US kudhulumu haki ya watu kuishi! Haki nilishangaa na kuumia sana! Hatuwajui hao aliowadhulumu ni akina nani! Nafsi inaumia, tuliishi kwenye dhama mbaya.
Kweli ndugu, ni state department... Asante kwa kunisahihisha, ila kama Makonda hakubari inabidi afungue kesi dhidi ya serikali ya marekani- state department kwa uchafuzi ule kama ni kweli au la ili wajitetee
 
Mimi kama mtanzania huru ninayo haki ya kuwaomba ubalozi wa Marekani ushahidi wa wapi Makonda kadhulumu haki ya kuishi.

Yaani ushahidi ni upi au kwa kuwa ubalozi wa marekani umesema hayo ?

Mbona huu ubalozi wa marekani haukusema hayo kwa sabaya na ilhali sabaya kuna clip zake zilivuja akifanya uhalifu dukani kama ambavyo za makonda zilivuja akivamia clauzi tivii ?

Ubalozi wa marekani has nothing to do with uhalifu wa makonda.

Kamw ambavyo CCTV zimeonesha makonda akivamia clauzi basi ilikuwa bora tuone ushahidi mwingine makonda akivamia Tundu lissu pale dodoma.

Hatukatai makonda ana makandokando lakini hayo makandokando yawe na ushahidi tusizungumze kwa mihemko.
Ubalozi wa Marekani uliudhiwa na kitendo cha Makonda kusema mashoga wote watatafutwa popote walipo Dar ili washatakiwe au wafukuzwe kutoka jiji hilo.
 
Vijana wa Gambosh aka Wasukuma hovyo. Nenda kafukue shimo la Shetani Magufuli utapata ushahidi. Kisu kimegusa mfupa. Bhumbavu sana Idigunde.
Haihitaji ushahidi mwingine kujua kwamba wewe ni fukara.
 
Back
Top Bottom