Wenye watoto wa kike wafundisheni binti zenu kujitegemea, wasitegemee pesa ya mwanaume

Wenye watoto wa kike wafundisheni binti zenu kujitegemea, wasitegemee pesa ya mwanaume

Ewaaaaaa![emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]

Cc Smart911
Exactly, katika maisha pendelea kukubalika as a person ila sio kwa sababu ya hela or status. Hata mahusiano yanayojengwa na msingi huo huwa yanadumu sana tofauti na yale ambayo yanajengwa na tamaa ya pesa. Mtu akifukuzwa kazi au mradi wa kuingiza pesa ukipata pigo na mahusiano yanakufa kibudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kukazia na kuongezea tu: kuna wanaume wana mipesa lakini wake zao/watu wao wanapeleka hizo hela kwa mwanaume mwingine kapuku tu ambae anamkaza na kumkojoza ipasavyo..



Cc Smart911
Hela si mapenzi wala kutinduana.
Wapo watu wana hela na wanatunza mwanamke kwa kila kitu na wanatomba kama hawatombi tena.
Nimeshapitia hilo.
Hela kupewa nyingi na kitandani kuna vingi vile vile.
Yaani tunaita full package mpaka unaona mtu umependelewa.
Kuwa na pesa kutokumridhisha mwenzako ni uzwazwa.
Uzwazwa zaidi ni mwanaume kutokuwa na pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuuh! ! Inasikitisha sana


Cc Smart911


Tafta mume, usidanganyike kua wewe kazi yako ni kuzaa tu. Utazalishwa na utafirwa na kila mtu na utapigwa miti sana. Usifanye uchi wako ukawa barabara ya kila mtu kupita.

Wanawake mliokosa malezi na kufundishwa kutumia uchi wenu badala ya akili tutaendela kuwasaidia kuzaa kwa uchungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukiwa na pesa huwezi kuwaza haya yote[emoji16][emoji16]

Umeongea kwa uchungu sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Hamjaelewa wanaume was humu jf, shida yao sio ninyi kuhudumiwa, au kupewa hela na mwanaume. Bcoz hio ni sehem ya mahusiano ya kimapenzi

Wanachojaribu kushauri ni kuwa wanawake mjitegemee kiuchumi, ili Siku mkitoa papuchi, mtoe papuchi kwa ajili ya kupunguza genye zenu, na sio kwa ajili ya kupata kitu flani Diana Spencer Rebeca 83 yna2
 
Dawa ni kuoa waliopo humu jf, make sio kwa semina hizi za kila siku!
 
Kweli kabisa. .ndiomana mimi sipendagi mwanaume mwenye pesa anaetumia pesa zake kama fimbo
Mimi napenda mtu sipendi pesa zake wala Mali zake kwani mahusiano yana mambo mengi na vigezo vingi sio pesa tu.

Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Boss, I agree with you
Your words are 100% true.

Pesa ni namba, na namba hazina mwisho, anaetegemea pesa kupata furaha itamgharimu maisha yake yote na furaha atakayopata ni ya muda mchache sana.
Pesa ikitumika kama fimbo basi utu, furaha na mapenzi yatapotea.

Thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly, katika maisha pendelea kukubalika as a person ila sio kwa sababu ya hela or status. Hata mahusiano yanayojengwa na msingi huo huwa yanadumu sana tofauti na yale ambayo yanajengwa na tamaa ya pesa. Mtu akifukuzwa kazi au mradi wa kuingiza pesa ukipata pigo na mahusiano yanakufa kibudu.
Yes Boss, I agree with you
Your words are 100% true.

Ni vizuri kuridhika, kuishi maisha halisi na kukubaliana na hali iliyopo katika maisha yenu/yako. Baada ya hapo mnaongeza juhudi za kutimiza ndoto zenu.

Pesa itumike kulingana na kipato (gharama zisiwe kubwa), akiba ipatikane na pesa ya dharura pia iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes Boss, I agree with you
Your words are 100% true.

Pesa ni namba, na namba hazina mwisho, anaetegemea pesa kupata furaha itamgharimu maisha yake yote na furaha atakayopata ni ya muda mchache sana.
Pesa ikitumika kama fimbo basi utu, furaha na mapenzi yatapotea.

Thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko pesa

Sent using Jamii Forums mobile app


Amina Amina. .


Cc Smart911
 
Kwa maneno hayo najiona kabisaa mimi sio mtanzania japo ni mtanzania!!

Wazazi tunawalea watoto wetu vizuri tuu,sema hawafanani tabia! Hakuna mzazi anapenda kuona mtoto hawezi kusimama mwenyewe bila kuomba omba jamani!!

Suala la kusaidiana kwenye mahusiano sijaelewa kwa nini linakuwa gumu kwetu jinsia ke, naweza kusema ni ubinafsi!!

Sijawahi kuumiia, nimetoka out na babe tukagawana bill!! Ile feeling ya kuongezea bill asikuambie mtu inanogesha mapenzi!
Wewe ni kabila gani kiasil ? Kabila lenu huenda lina wanawake wa maana.
 
Back
Top Bottom