Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ewaaaaaa![emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Smart911
Exactly, katika maisha pendelea kukubalika as a person ila sio kwa sababu ya hela or status. Hata mahusiano yanayojengwa na msingi huo huwa yanadumu sana tofauti na yale ambayo yanajengwa na tamaa ya pesa. Mtu akifukuzwa kazi au mradi wa kuingiza pesa ukipata pigo na mahusiano yanakufa kibudu.
Sent using Jamii Forums mobile app