Exactly, katika maisha pendelea kukubalika as a person ila sio kwa sababu ya hela or status. Hata mahusiano yanayojengwa na msingi huo huwa yanadumu sana tofauti na yale ambayo yanajengwa na tamaa ya pesa. Mtu akifukuzwa kazi au mradi wa kuingiza pesa ukipata pigo na mahusiano yanakufa kibudu.
Hela si mapenzi wala kutinduana.
Wapo watu wana hela na wanatunza mwanamke kwa kila kitu na wanatomba kama hawatombi tena.
Nimeshapitia hilo.
Hela kupewa nyingi na kitandani kuna vingi vile vile.
Yaani tunaita full package mpaka unaona mtu umependelewa.
Kuwa na pesa kutokumridhisha mwenzako ni uzwazwa.
Uzwazwa zaidi ni mwanaume kutokuwa na pesa.
Tafta mume, usidanganyike kua wewe kazi yako ni kuzaa tu. Utazalishwa na utafirwa na kila mtu na utapigwa miti sana. Usifanye uchi wako ukawa barabara ya kila mtu kupita.
Wanawake mliokosa malezi na kufundishwa kutumia uchi wenu badala ya akili tutaendela kuwasaidia kuzaa kwa uchungu.
Mkuu ukiwa na pesa huwezi kuwaza haya yote[emoji16][emoji16]
Umeongea kwa uchungu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππDawa ni kuoa waliopo humu jf, make sio kwa semina hizi za kila siku!
Yes Boss, I agree with youKweli kabisa. .ndiomana mimi sipendagi mwanaume mwenye pesa anaetumia pesa zake kama fimbo
Mimi napenda mtu sipendi pesa zake wala Mali zake kwani mahusiano yana mambo mengi na vigezo vingi sio pesa tu.
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Boss, I agree with youExactly, katika maisha pendelea kukubalika as a person ila sio kwa sababu ya hela or status. Hata mahusiano yanayojengwa na msingi huo huwa yanadumu sana tofauti na yale ambayo yanajengwa na tamaa ya pesa. Mtu akifukuzwa kazi au mradi wa kuingiza pesa ukipata pigo na mahusiano yanakufa kibudu.
Yes Boss, I agree with you
Your words are 100% true.
Pesa ni namba, na namba hazina mwisho, anaetegemea pesa kupata furaha itamgharimu maisha yake yote na furaha atakayopata ni ya muda mchache sana.
Pesa ikitumika kama fimbo basi utu, furaha na mapenzi yatapotea.
Thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni kabila gani kiasil ? Kabila lenu huenda lina wanawake wa maana.Kwa maneno hayo najiona kabisaa mimi sio mtanzania japo ni mtanzania!!
Wazazi tunawalea watoto wetu vizuri tuu,sema hawafanani tabia! Hakuna mzazi anapenda kuona mtoto hawezi kusimama mwenyewe bila kuomba omba jamani!!
Suala la kusaidiana kwenye mahusiano sijaelewa kwa nini linakuwa gumu kwetu jinsia ke, naweza kusema ni ubinafsi!!
Sijawahi kuumiia, nimetoka out na babe tukagawana bill!! Ile feeling ya kuongezea bill asikuambie mtu inanogesha mapenzi!
Haha hasira hapo sasa zitaishia kwako
π€£π€£π€£Dawa ni kuoa waliopo humu jf, make sio kwa semina hizi za kila siku!
Hii kauli yako siipendagi basi tu. .anyway mambo yako nakuachia mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app