Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Sahihi ukiweza kubalance ukazuia kile kimoja ukapigwa walau kwa dk 15,... Kimoja lile bao la kwanza ni bao tamu sana haya mengine ni mbwembwe tu, kuchosha mwili na kupoteza muda wa kufanya mambo ya maendeleo
Umemaliza 20 to 30 minutes quality better kuliko chochote, shida vijana wengi wakianza kusikia hizi porojo sijui vitatu basi wanaamini wanaanza kufikiri labda na shida fulani kumbe porojo tu. Quality better than quantity. Huyo sasa anayejipigia debe mimi vitatu kama ndio ingekuwa yanafunguliwa hadharani watu wangeumbuka sana. Mzee wa vitatu vipi tena...πŸ˜› labda tena nasema labda uwe unabadilisha mwanammke kila siku lakini huyo huyo kila siku vitatu, tusidanganye hapa.
 
Wewe unapoendea utakuja uitapikie papuchi wewe
 
Naunga mkono hoja Kwa mikono miwili na mguu mmoja.

Uzi ufungwe Quality is better than Quantity without all factors.
 
Libido Ipo chini sana
 
Wanamuokoa asidhalilike kwenye umati wa watu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… brotherhood
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…