Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Sahihi ukiweza kubalance ukazuia kile kimoja ukapigwa walau kwa dk 15,... Kimoja lile bao la kwanza ni bao tamu sana haya mengine ni mbwembwe tu, kuchosha mwili na kupoteza muda wa kufanya mambo ya maendeleo
Umemaliza 20 to 30 minutes quality better kuliko chochote, shida vijana wengi wakianza kusikia hizi porojo sijui vitatu basi wanaamini wanaanza kufikiri labda na shida fulani kumbe porojo tu. Quality better than quantity. Huyo sasa anayejipigia debe mimi vitatu kama ndio ingekuwa yanafunguliwa hadharani watu wangeumbuka sana. Mzee wa vitatu vipi tena...😛 labda tena nasema labda uwe unabadilisha mwanammke kila siku lakini huyo huyo kila siku vitatu, tusidanganye hapa.
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Wewe unapoendea utakuja uitapikie papuchi wewe
 
Umemaliza 20 to 30 minutes quality better kuliko chochote, shida vijana wengi wakianza kusikia hizi porojo sijui vitatu basi wanaamini wanaanza kufikiri labda na shida fulani kumbe porojo tu. Quality better than quantity. Huyo sasa anayejipigia debe mimi vitatu kama ndio ingekuwa yanafunguliwa hadharani watu wangeumbuka sana. Mzee wa vitatu vipi tena...😛 labda tena nasema labda uwe unabadilisha mwanammke kila siku lakini huyo huyo kila siku vitatu, tusidanganye hapa.
Naunga mkono hoja Kwa mikono miwili na mguu mmoja.

Uzi ufungwe Quality is better than Quantity without all factors.
 
Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!

Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Libido Ipo chini sana
 
Wanamuokoa asidhalilike kwenye umati wa watu 😅😅😅 brotherhood
Mada kama hizi ndipo utajua wanaume wa Tz walivyo na mshikamano linapokuja suala la mwenzao kushindwa kuichakata vyema au kuzagamua, na ajabu huwa wanasikitishwa kwa pamoja na wanalibeba tatizo kama la kwao wote..

Watakuja wenye kila aina ya ushauri, mwingine kunywa eneji, mwingine kula miguu ya kuku anayetaga basi tu ili mradi wamuokoe mwenzao...
 
Back
Top Bottom