Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

Weee koma usinifokee
 
Kwanza mnatakiwa kujua kuwa, mwanamke hahitaji mabao mengi, anahitaji bao moja tu refu, yaani ni bora umpige mwanamke bao moja linalochukua nusu saa, kuliko mabao matatu yanayochukua dakika moja kama ya jogoo.
 
Hahaa bao 3 unajenga SGr mkuuu

Wengine hizi baooo tunazipigia kwa nyumba ndogo

Na usizizooeee mara kwa mara sio nzuri kiafyaa above 38+
 
Welcome to the club
 
Kwanza mnatakiwa kujua kuwa, mwanamke hahitaji mabao mengi, anahitaji bao moja tu refu, yaani ni bora umpige mwanamke bao moja linalochukua nusu saa, kuliko mabao matatu yanayochukua dakika moja kama ya jogoo.
Bao Moja nususaa unatafuta mtotooo kha
 
Shida unafanya ili umwage, change mtazamo wako kwanza juu ya tendo na unaefanya nae Hilo tendo, ukiweza hii utakuwa umepona tatizo lako
 
Vitatu vya nini mkuu, kimoja tu cha afya kinatosha kama ni cha dk 30 ukishusha unamuacha anapitiwa na usingizi kabisa.

Sio unapiga vitatu vya dk tano tano ni matumizi mabaya ya rasilimali mbegu.
 
Na hapo mshazoeana sana mpaka kila mmoja hana hamu na mwenzake
Na mim nahisi ni hivyo maana cha kwanza napiga nisipokaa vizur naweza nisimalize,ila kurudia cha pili sikuiz sijui shida iko wapi maana hapa nyuma kidogo nilikuwa naweza kuunganisha au kupiga mda wowote,ila saiz siwez kirudia tena hadi najishaangaa sijui ni umri,
 
Umri, kisukari na presha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…