100%Suala hilo ni la kisaikolojia zaidi.
Waone wataalamu wa magonjwa ya akili/saikolojia haraka iwezekanavyo.
Kwa hali ya kawaida jambo la asili haliwezi kukuchukiza na kukuondolea amani kwa namna unavyojisikia wewe.
Watu wanahonga ama kutoa mahari juu ya jambo hilo hilo, ina maana wanafurahishwa nalo na wanainjoi, iweje kwako?
Ukibweteka, utafika muda hautahitaji kushiriki tendo, maana kwako ni kero na unaona ni uchafu.
Na ukijilazimisha, jongoo halitapanda mtungi, kila litakapotaka kupanda litaishia kuteleza na kudondoka chini.
HeheheHe kumbe kuna wanaoendelea baada ya kumaliza kimoja?
HeheheMoja nzuri inatosha sana 😜
Mkuu hongera sana kwa kutumia simu mpya ya itel tena s23 na ina 4g juu... Hakika haya ni maendeleo makubwaAu gonga hii hapa before matchView attachment 3240948
Mazoezi mazito mnooooooo!Kuna sehemu lazima niende kwa miguu Kila siku, natumia dakika 40. Sio mazoezi hayo?
Mambo bby....mie mwenyewe bai zangu 2 za afya zatosha kabisaaa
HeheheMkuu hongera sana kwa kutumia simu mpya ya itel tena s23 na ina 4g juu... Hakika haya ni maendeleo makubwa
Ha haaaa nimechekaaaMambo bby....mie mwenyewe bai zangu 2 za afya zatosha kabisaaa
Mtu anayeenda matatu hata mimi simtaki.Matatu ya nini?
Sikumbuki lini nilifika huko.
Hicho ni kinywaji au kilaji?Au gonga hii hapa before matchView attachment 3240948
Kimoja cha dk5?Mtu anayeenda matatu hata mimi simtaki.
Acha uzinzi kijana, maisha ni mafupi mno.Au ndo kuumwa kwenyewe?!!!!!!
Yaani nikimaliza Kuna hali flani ya kuchafukwa inanitokea mpaka najishangaa nilikuwa nahangaikia nini'?!! Hali ipo hivyo kwa Kila niliyepita nae......kutoka wa kishua haswa Hadi wa uswahilini. Hata yule Mnorway niliyebahatika kule Arusha Hali ilikuwa hivi hivi. Elimu yenu tafadhali.
Mkuu wewe ni ke au me?Mada kama hizi ndipo utajua wanaume wa Tz walivyo na mshikamano linapokuja suala la mwenzao kushindwa kuichakata vyema au kuzagamua, na ajabu huwa wanasikitishwa kwa pamoja na wanalibeba tatizo kama la kwao wote..
Watakuja wenye kila aina ya ushauri, mwingine kunywa eneji, mwingine kula miguu ya kuku anayetaga basi tu ili mradi wamuokoe mwenzao...
Ni sawa tuKimoja cha dk5?
Mnoooo!Acha uzinzi kijana, maisha ni mafupi mno.
Asante sana mkuu, hakika kwangu ni maendeleo makubwa sanaMkuu hongera sana kwa kutumia simu mpya ya itel tena s23 na ina 4g juu... Hakika haya ni maendeleo makubwa
Bado mitafaruku na mauaji yasiyoisha. Serikali isikae kimya.