MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Utakuja liwa daga na haohao vijana wakuundie kamatiNa tunaokula nauli inakuaje 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuja liwa daga na haohao vijana wakuundie kamatiNa tunaokula nauli inakuaje 😅😅
Lote lako hilo ?[emoji16] kweli kabisa. Waache wabaki na pesa zao.. waendelee kula nyasi.
Mkuu we tajiri 😃Unakula nauli kwa sababu hujatumiwa " nauli" . Nauli is a code name
Mimi ukiniomba nauli, umbali wa mia tano nakutumia laki na 28 utoe laki na ishirini kamili, ili upite na saluni kabisa. Halafu nikisha kutumia sikuulizii kama umeipata wala nini. Nakuulizia ili iweje wakati umeshaniambia jina lako na mpesa au tigopesa wameonyesha hela imekuja kwako.
Wala siku ulizi ulizi unakuja saa ngapi. Na usipo kuja wala sikutafuti.
Next time lazima utanitafuta tu this time utakuja ukiwa more serious kwa lengo la kunishawishi kwa vitendo ili niwe nakupa zaidi ya nauli
[emoji2] wewe njoo tu hata na mkokoteni si vibaya...Aisee....lakini kwani nikikufuata na bodaboda kuna shida gani
Lipi Hilo mkuu?Lote lako hilo ?
HongeraKuhonga sio utajiri ni moyo
Tena upande kwenye bodaboda huku umebinua msambwanda full raha. Na matiti yanapapasa mgongo wangu[emoji2] wewe njoo tu hata na mkokoteni si vibaya...
Mkuu UNATUUZIA UOGA...
Kwamba "" Usipofanya kitu fulani kwa demu wako basi wapo watakaomfanyia."""
Hii ni kuwauzia Uoga vijana,,, wawe manipulated,,, wafanye wasiyoweza kisa tu mtu wake asiende kwa wengine....
Hii pia ni aina fulani ya kutojiamini,,, maana Duniani wapo waliokuzidi kila kitu na vilevile wapo uliowazidi kila kitu.... so ni vyema ukaishi katika misingi yako na ukaachana na hizi mbio za Panya...
Usipotuma wewe wengine wakatuma kuna ubaya gani??? Unakufa?? Uchi wa demu ni wako au wake.???? Na je ukituma 50k kwani wengine hawawezi tuma 200k au 1m...
Be a Man
Stay Taliban...
Huo kwenye dpLipi Hilo mkuu?
Mmh 800? tuheshimu bathii 😁😁😁😁🦋Mkuu wapo mpaka wanawake wa shilingi mia tano...
Naonga mkono .Mkuu samahani ila hii mada ilitakiwa iletwe na Rosemary 255
Nimo kwenye ratio ya walio liwa nauli.Ila ratio ya walioliwa nauli zao Ni kubwa kuliko ratio ya waliopokea nauli na kwenda kwa waliowatumia
Ukutane na mtungo wa vibamia afu wewe una kisima ....ili kuwakomoa unawaambia "Hakuna mtu kuondoka hapa Ngoma ichezwe mpaka kukuche"🤣🤫Inatakiwa mliwe mtungo
Mkuu ulipotea sana kwenye jukwaa hili.Utakuja liwa daga na haohao vijana wakuundie kamati