Toedsloth_
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 369
- 1,085
Kweli situmi kbsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIKUD naona hayupo kwenye kile kikao chao cha wanaume [emoji1787][emoji23][emoji23]
Huyu naona hata kuhudhuria vikao hajawahiLIKUD naona hayupo kwenye kile kikao chao cha wanaume [emoji1787]
Nipo bossMkuu ulipotea sana kwenye jukwaa hili.
👏👏👏Unakula nauli kwa sababu hujatumiwa " nauli" . Nauli is a code name
Mimi ukiniomba nauli, umbali wa mia tano nakutumia laki na 28 utoe laki na ishirini kamili, ili upite na saluni kabisa. Halafu nikisha kutumia sikuulizii kama umeipata wala nini. Nakuulizia ili iweje wakati umeshaniambia jina lako na mpesa au tigopesa wameonyesha hela imekuja kwako.
Wala siku ulizi ulizi unakuja saa ngapi. Na usipo kuja wala sikutafuti.
Next time lazima utanitafuta tu this time utakuja ukiwa more serious kwa lengo la kunishawishi kwa vitendo ili niwe nakupa zaidi ya nauli
Kwa jinsi wanawake wasasa wanavyohimili moto hata mtungo wanaweza himiliUkutane na mtungo wa vibamia afu wewe una kisima ....ili kuwakomoa unawaambia "Hakuna mtu kuondoka hapa Ngoma ichezwe mpaka kukuche"🤣🤫
Eeh ndio em waambie...... Mtu anakuita njoo sijui upae sijui utokezee kweny kona kama mchawi...... Mwanaume tuma pesa ya nauli sio kulialia ooh mtu mwenyewe nkikuita ujiKila uamuzi una gharama zake. Gharama za kutotuma nauli ni kubwa maradufu ya gharama za kutuma nauli
Wakati wewe ukisema hutumi nauli, akina DeepPond wanatuma nauli ya laki umbali wa nauli ya buku tena na ya kutolea juu.
# Ukiona jamaa anaenjoy na demu mkali, jua katuma nauli na ya kutolea..
View attachment 2268695
Unataka nikutumie? We kopa tu ukija nakurudishia😂makaveli10 eti na wewe nauli hutumii?
🙆♂️🏃♀️
We acha mambo ya kiwaki, hatumii mtu nauki hapa mwaisa 😂Mekumiss ujue
Yamekuwa hayoo 🙄We acha mambo ya kiwaki, hatumii mtu nauki hapa mwaisa 😂
Yaani wewe unimisi kisha mimi ndio nitume nauli. Kwani mganga mdio anamtumiaga nauli mteja😂🤣🤣
😂 😂 😂Yamekuwa hayoo 🙄
🤣🤣🤣🤣🤣😂 😂 😂
Huogopi mie mume wa mtu hivyo😂🤣🤣🤣🤣🤣
Hata mbuz Ana mume so sio ajabu. ..mke wa rais analiwa sembuse wwHuogopi mie mume wa mtu hivyo😂
😂 😂Hata mbuz Ana mume so sio ajabu. ..mke wa rais analiwa sembuse ww