Wewe endelea hivyo hivyo kusema " Mimi situmi nauli"

Wewe endelea hivyo hivyo kusema " Mimi situmi nauli"

Kweli situmi kbsa
20220623_044537.jpg
 
Unakula nauli kwa sababu hujatumiwa " nauli" . Nauli is a code name

Mimi ukiniomba nauli, umbali wa mia tano nakutumia laki na 28 utoe laki na ishirini kamili, ili upite na saluni kabisa. Halafu nikisha kutumia sikuulizii kama umeipata wala nini. Nakuulizia ili iweje wakati umeshaniambia jina lako na mpesa au tigopesa wameonyesha hela imekuja kwako.

Wala siku ulizi ulizi unakuja saa ngapi. Na usipo kuja wala sikutafuti.

Next time lazima utanitafuta tu this time utakuja ukiwa more serious kwa lengo la kunishawishi kwa vitendo ili niwe nakupa zaidi ya nauli
👏👏👏
 
Ukutane na mtungo wa vibamia afu wewe una kisima ....ili kuwakomoa unawaambia "Hakuna mtu kuondoka hapa Ngoma ichezwe mpaka kukuche"🤣🤫
Kwa jinsi wanawake wasasa wanavyohimili moto hata mtungo wanaweza himili
 
Kila uamuzi una gharama zake. Gharama za kutotuma nauli ni kubwa maradufu ya gharama za kutuma nauli

Wakati wewe ukisema hutumi nauli, akina DeepPond wanatuma nauli ya laki umbali wa nauli ya buku tena na ya kutolea juu.

# Ukiona jamaa anaenjoy na demu mkali, jua katuma nauli na ya kutolea..
View attachment 2268695
Eeh ndio em waambie...... Mtu anakuita njoo sijui upae sijui utokezee kweny kona kama mchawi...... Mwanaume tuma pesa ya nauli sio kulialia ooh mtu mwenyewe nkikuita uji
 
Kwenye ile laki iliyotumwa kuna kijana nae katumiwa Elfu hamsini

Alisikika kijana mmoja , anajiita king'asti😅😅😅
 
Sasa kama nimeamua kutongoza majirani nauli yanini tena [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom