toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Hapana kauliza the right people, reverse psychology inafanyaga kazi vizuri, the more you ignore them the more you get them ukiwashobokea sana unakuwa shoot wao, hawakupi so it's better aachane nae asimpe hela atakuja mwenyewe akibanwa na kipindi anaweka distance atafute mwanamke mwingine wapo wengi na hawana watu....Usimbembeleze mwanamke unamtengenezea mazingira ya kukuona wewe fala, sijui kwanini wanawake wanatabia ya kuchanganya upendo na ufala, Yan mtu unampenda anakuona we zoba πUnaomba ushauri kwa wanaume wenzako ambao nao wanapitia changamoto kama yako.π
Ndio mzeeIle akiba ya ndizi umempa ?
Umejikaza kutoa ushauri wakati wewe mwenyewe kuna pisi inakuletea mapozi na huwa unaililiaHapana kauliza the right people, reverse psychology inafanyaga kazi vizuri, the more you ignore them the more you get them ukiwashobokea sana unakuwa shoot wao, hawakupi so it's better aachane nae asimpe hela atakuja mwenyewe akibanwa na kipindi anaweka distance atafute mwanamke mwingine wapo wengi na hawana watu....Usimbembeleze mwanamke unamtengenezea mazingira ya kukuona wewe fala, sijui kwanini wanawake wanatabia ya kuchanganya upendo na ufala, Yan mtu unampenda anakuona we zoba π
PoleNdio mzee
Inasaidia nini?Pole
Manake unaweza fumbua fumbo la Mwachiluwi mana WANAUME nasi kisangaUmejikaza kutoa ushauri wakati wewe mwenyewe kuna pisi inakuletea mapozi na huwa unaililia
Nan tena uyooo π€·π½ββοΈπππMagical power njoo muone mwenzio ukuπΉπΉπΉ
Hiyo michezo nlishaacha siku nyingi sanaUmejikaza kutoa ushauri wakati wewe mwenyewe kuna pisi inakuletea mapozi na huwa unaililia
Hellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Apo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke ππππππππ,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu ππHellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina mpenda sana kibaya zaidi anataka mimi nisolve changamoto zake ila mimi jibu hanipi kabisa
Nimewekeza pesa nyingi kuna muda nampa mpaka akiba yangu ila haoni kama nampenda nimechoka nifanyeje
Nilimfwata baada ya kusikia washikaji kuwa wanamsema ni mgumu sana so na mimi nikazama kimya kimya ila sasa moyo unanipelekesha na mpenda sana ila jibu hanipi
Nifanyeje ushauri wenu mwenzenu nimekamatika kwa huyu bidada kitoto cha 2000
Kitoto cha elf mbiliNan tena uyooo π€·π½ββοΈπππ
Kina mchanganya mjomba πππKitoto cha elf mbili
Acha tu na boss ake piaKina mchanganya mjomba πππ
Au sioManake unaweza fumbua fumbo la Mwachiluwi mana WANAUME nasi kisanga
KweliiiSbb huna hela, tafuta hela uone dunia, ukipata hela ww ndio utakuwa unawakataa
ππ sawa sawaApo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke ππππππππ,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu ππ
MaamuziNingekua mim napga chini hilo wazo lakua nae.
Hela zakumhonga ili akukubali naenda sokon nanunua matunda mbogamboga kwa wingi pia mazoez kujenga mwil.. Staki stress wala kubembeleza cjui kwanin.