Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Unaomba ushauri kwa wanaume wenzako ambao nao wanapitia changamoto kama yako.πŸ˜‚
Hapana kauliza the right people, reverse psychology inafanyaga kazi vizuri, the more you ignore them the more you get them ukiwashobokea sana unakuwa shoot wao, hawakupi so it's better aachane nae asimpe hela atakuja mwenyewe akibanwa na kipindi anaweka distance atafute mwanamke mwingine wapo wengi na hawana watu....Usimbembeleze mwanamke unamtengenezea mazingira ya kukuona wewe fala, sijui kwanini wanawake wanatabia ya kuchanganya upendo na ufala, Yan mtu unampenda anakuona we zoba πŸ˜‚
 
Umejikaza kutoa ushauri wakati wewe mwenyewe kuna pisi inakuletea mapozi na huwa unaililia
 


Sbb huna hela, tafuta hela uone dunia, ukipata hela ww ndio utakuwa unawakataa
 
Apo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Apo kwenye kitoto cha 2000 ebu kwanza acha nicheke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,acha kumanguka unaimba taarabu ujue toka apo unaibiwa acha kuronga ushuzi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚ sawa sawa
 
Sawa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…