Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Unampenda au unataka tunda tu! mkaushie kuendelea kujipendekeza ni kujishusha hadhi na atakuchukulia poa mpaka bas, mi nishaachaga kutongoza sahv namuonesha tu nia yangu kwake, Kwa kumuita jina zuri au kumtazama hicho flani iv la matamanio au namsifia, yaan vyvyte vile ili mradi ajue tu namtaka! Na uzuri wanawake ni wepesi sana kumsoma mwanamme, baada ya hapo naomba namba tu! akinipa namba ndio jibu tyr, maana mwanamke kama hana interest nawewe hawezi kukubali usumbufu bas, nikishachukua namba ata hvo bado sitomtongoza badala yake ntaomba meeting, hatua ya pili hyo,kumbuka hatua ya kwanza ni namba katoa,kakubali kuacha kazi zake kuja kukuskiliza! bas bado nn apo!!!! ila siku ya kwanza zingatia sana usitake mzigo kama hajaonesha kuutaka mchezo ila unaweza ukamwambia kama masihara flan iv, kama umeshindwa kusoma hisia zake! Mwanamke hataki kukupa namba mpaka uchukue Kwa jirani mi stak usumbufu huo ata kama nampenda vip! ila mwanamke stak nataka hyo ndio wananiwezaga mm!?
 
Nimeichukua
 
Ush
Auri wangu.

Uza figo uongeze kiasi unachompa
 
Kwwli ase vyeo vinashuka
 


Utoto Raha Sana dah
 
Bora tu upike zako chapati za maji πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…