mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #61
Usinifanyie hivyo nampenda yeye jmn..😂😂awapi ulitaka kumchezea akasanuka!!. Mwamba kazia hapo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinifanyie hivyo nampenda yeye jmn..😂😂awapi ulitaka kumchezea akasanuka!!. Mwamba kazia hapo hapo.
Hehehe!!!Salaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
😳😳… ni mnyakyusa jmn 😁Angekuwa MPARE ningedhani ni mimi mamamzungu kanidondokea😁😁View attachment 3237023
Nini 🥹Hehehe!!!
Mwanangu viatu vya Eric havivaliki😂sijui alikua anaishije na huyu mshangaziMpaji Mungu kaka umepasua Moyo wa mtu
Ndoo baaaasiii ndo basi tena!Nini 🥹
Sio Kama hivyo ni vitu vinginee tu mkuu… I was overthinking…Hii ni nature mwanaume akipenda sana ukawa humpendi, Iko siku ataamua kuachana na wewe. Siku akikata tamaa ndio wewe mapenzi yanarudi. Nakuhakikishia hata kama atarudi upending hautakuea kama wa mwanzo. Na kama ameshakuka utekezi chance ya kurudi ni ndogo. Kama hajapiga basi atarudi kupiga tu then asepe
What 😳😳Mwanangu viatu vya Eric havivaliki😂sijui alikua anaishije na huyu mshangazi
Sijui nimtag😅😀😀😀 Watu wema wapo humu japo ni ngumu kuwafahamu.. huyu niliekutana nae ni very very good man issue ni bado ana ujana tu 😌
🤣🤣🤣Ndoo baaaasiii ndo basi tena!
Haunipaaaatiii......
MtaggSijui nimtag😅
Asante sana ntakurudia tu kwa sasa nimepata mshangazi mwingine wa Tiharahei lakini ntarudi kaaa hapo hapo🤣Salaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
MmmhMpaji Mungu kaka umepasua Moyo wa mtu
😂😂😂😂😂😂mbona unafanya tuanze kuwamiss na wakwetu,anyway baba T nimekumiss sana mwenzio,please come home darling
😄😄😄😄 duuhAsante sana ntakurudia tu kwa sasa nimepata mshangazi mwingine wa Tiharahei lakini ntarudi kaaa hapo hapo🤣
Nipo naye hapa anasema harudiagi matapishiUsinifanyie hivyo nampenda yeye jmn..
MmhNipo hapa tayari...🤨
Sulutani Khafidh unamegea gizani Kaka🐍Mwanangu viatu vya Eric havivaliki😂sijui alikua anaishije na huyu mshangazi