mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #101
😍😍❤️Nipo usijali tutakuwa wote baby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😍❤️Nipo usijali tutakuwa wote baby
Basi sahau kuwa nae tenaTutakuwa tumekufa
🤷🏻♀️🤷🏻♀️Mbona kama unajitekenya mwenyewe
OkBasi sahau kuwa nae tena
Ova!!!
😂😂😂Sema Mwakatobe unazinguaSulutani Khafidh unamegea gizani Kaka🐍
Oana naoNina nyota ya kupendwana Waalimu, mtanisaidiaje
Maana sahihi ya bako to sako!Salaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani
Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
Fungua shuleNina nyota ya kupendwana Waalimu, mtanisaidiaje
Ndio ID yako nyingine kumbee🥹🥹… nimelia sana😂😂😂Sema Mwakatobe unazingua
Siku hizi imekuwa kawaida jinsia Aina Moja kupendana na kupeana urodaMwandiko wa kiume huu.
😒😒😒😒😂Maana sahihi ya bako to sako!
Kijanaa ushaukanyaga mumoyo wa Brinn!
🤣🤣🤣 heeeSiku hizi imekuwa kawaida jinsia Aina Moja kupendana na kupeana uroda
Waalimu . Salute kwenuOana nao
🤣🤣🤣🏃♂️Fungua shule
InshallahWaalimu . Salute kwenu
Baba P❤️Mtagg
😂😂😂Mi na ID Moja tuNdio ID yako nyingine kumbee🥹🥹… nimelia sana