Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

😀😀😀 Watu wema wapo humu japo ni ngumu kuwafahamu.. huyu niliekutana nae ni very very good man issue ni bado ana ujana tu 😌

Kuwa nae hivyo hivyo hadi ujana umuishe
Kikubwa na yeye aoneshe kukupenda
 
Mna siriii. Yaan pamoja na kuficha majina ya attendanve bado mnatambuana na kuonana.
Haya mshamgazi mmojq anayehitaji tuonane Moshi mjini. Valentine ijayo isipite bure bila kummis mtoto wa watu.
 
Mna siriii. Yaan pamoja na kuficha majina ya attendanve bado mnatambuana na kuonana.
Haya mshamgazi mmojq anayehitaji tuonane Moshi mjini. Valentine ijayo isipite bure bila kummis mtoto wa watu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nilibahatisha mkuu humu wengi wehu
 
Back
Top Bottom