mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #81
😂😂😂 uongooNipo naye hapa anasema harudiagi matapishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 uongooNipo naye hapa anasema harudiagi matapishi
nimeacha kumtag makusudi,kikubwa asome ili ajue najiskiaje wakati huu😂😂😂😂😂😂
Anacheka tu,mbavu hana😂😂😂 uongoo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nitakua bado sijazeekasasa nikimaliza ujana wangu wewe si utakuwa unaingia kwenye ubibi wako?
Mwwmbie aje nimzalie katoto kamoja🤣Anacheka tu,mbavu hana
Sawaaiyee haya amekuskia
Hapana😎Mukaka ndo alikuja inbox baada ya kuleta uzi wa kufiwa na mchumba ako?
Amesema hana shida na mtoto coz ameshawapata wawili na sasa hivi mpenzi wake ana mimba ya miezi6Mwwmbie aje nimzalie katoto kamoja🤣
Mwambie mimi ndio nataka copy yake 😃😎Amesema hana shida na mtoto coz ameshawapata wawili na sasa hivi mpenzi wake ana mimba ya miezi6
Heeeeee ni fashion mpya hiyo jmn😅Tatizo mama mzungu ZIVU(Geuza hizo herufi) lako lina mvi 😝naogopa mie mtoto wa mwanamke mwenzio nyoa Basi
😹😹😹 Mtaje basi mahiUmenikumbusha yule kaka wa humu nilikuwa nampenda wakati ule 😥
Kasema subiri mwaka 2050Mwambie mimi ndio nataka copy yake 😃😎
Huwa wanawake mko hivyoSio Kama hivyo ni vitu vinginee tu mkuu… I was overthinking…
Tutakuwa tumekufaKasema subiri mwaka 2050
Ndio tumeumbwa hivyoHuwa wanawake mko hivyo