Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Hehehe!!!
 
Hii ni nature mwanaume akipenda sana ukawa humpendi, Iko siku ataamua kuachana na wewe. Siku akikata tamaa ndio wewe mapenzi yanarudi. Nakuhakikishia hata kama atarudi upending hautakuea kama wa mwanzo. Na kama ameshakuka utekezi chance ya kurudi ni ndogo. Kama hajapiga basi atarudi kupiga tu then asepe
 
Sio Kama hivyo ni vitu vinginee tu mkuu… I was overthinking…
 
Asante sana ntakurudia tu kwa sasa nimepata mshangazi mwingine wa Tiharahei lakini ntarudi kaaa hapo hapo🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…