Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Atakuwa Bujibuji Simba Nyamaume hili kabila hawana mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CountrywideMahi hayajapita, kitendo cha kumkumbuka tayari bado yupo moyoni mwako 😹😹
Unamtaka? 😹
Anawashwa hapo anatafuta wa kumkuna 😹😹Django Doer m@taqo yako
LabellaAnawashwa hapo anatafuta wa kumkuna 😹😹
IdiotHoney ni Kuku gani unataka
Nikupe kukupenda ama
Kukujali kukuheshimu kukuzalia
Njoo nikuoneshe kukucare kukulea kukuelewa
Kama mtoto kukuelewa kwa mengi hata usiyoyanena
Maana ahh kimwili naishi Ila we ndo roho yangu ukiondoka upande wangu nimeishaa
Hivi bado hujahisi uwaga napoteza utimamu usipopokea simu yangu nafoka ahhh
Kama simenti ntagandana na wewe
Ni kama, kama siafu ntafatana na wewe
Safari ya milele nakupenda weeee 😍😍😍
Mapenzi siku nikikushika 😭😭
Upo sawa?.Idiot
😂😂😂Achana naye nenda na hiyo hiyo
Mambo ya abunuasiHoney ni Kuku gani unataka
Nikupe kukupenda ama
Kukujali kukuheshimu kukuzalia
Njoo nikuoneshe kukucare kukulea kukuelewa
Kama mtoto kukuelewa kwa mengi hata usiyoyanena
Maana ahh kimwili naishi Ila we ndo roho yangu ukiondoka upande wangu nimeishaa
Hivi bado hujahisi uwaga napoteza utimamu usipopokea simu yangu nafoka ahhh
Kama simenti ntagandana na wewe
Ni kama, kama siafu ntafatana na wewe
Safari ya milele nakupenda weeee 😍😍😍
Mapenzi 😭😭😭
Rudisha sim ya mama yako mwanangu, umesha kua mkubwa..🤨angalia nisije kusema kwa bimkubwa, uka ishia kusema mi snitch 😂
Chama Cha dronedrake we ndio katibu lakini🤣sina mfungamano na chama chochote kile
Ndiyo wewe nakutafuta humu, mwanamke aliyemaliza issue za kuzaa nilitoa tangazo humu aje. Ulikuwa wapi?Mi watoto wawili wananitosha sizai tena utaweza🥴
Hahahahah😂😂Unaweza kuta mnyakyusa mimi ndio naambiwa haya, haya mama angu tuliendeleze tu mimi mwenyewe bado nakupenda pia. Ni katoto tu kale ka efu 2 kalitaka kunitoa kwenye reli
Wimbo wa yammy mamamzungu waitwa kukupenda. It's a nice love songMambo ya abunuasi