Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Honey ni Kuku gani unataka
Nikupe kukupenda ama
Kukujali kukuheshimu kukuzalia
Njoo nikuoneshe kukucare kukulea kukuelewa
Kama mtoto kukuelewa kwa mengi hata usiyoyanena

Maana ahh kimwili naishi Ila we ndo roho yangu ukiondoka upande wangu nimeishaa
Hivi bado hujahisi uwaga napoteza utimamu usipopokea simu yangu nafoka ahhh

Kama simenti ntagandana na wewe
Ni kama, kama siafu ntafatana na wewe
Safari ya milele nakupenda weeee 😍😍😍

Mapenzi 😭😭😭
 
Honey ni Kuku gani unataka
Nikupe kukupenda ama
Kukujali kukuheshimu kukuzalia
Njoo nikuoneshe kukucare kukulea kukuelewa
Kama mtoto kukuelewa kwa mengi hata usiyoyanena

Maana ahh kimwili naishi Ila we ndo roho yangu ukiondoka upande wangu nimeishaa
Hivi bado hujahisi uwaga napoteza utimamu usipopokea simu yangu nafoka ahhh

Kama simenti ntagandana na wewe
Ni kama, kama siafu ntafatana na wewe
Safari ya milele nakupenda weeee 😍😍😍

Mapenzi siku nikikushika 😭😭
Idiot
 
Honey ni Kuku gani unataka
Nikupe kukupenda ama
Kukujali kukuheshimu kukuzalia
Njoo nikuoneshe kukucare kukulea kukuelewa
Kama mtoto kukuelewa kwa mengi hata usiyoyanena

Maana ahh kimwili naishi Ila we ndo roho yangu ukiondoka upande wangu nimeishaa
Hivi bado hujahisi uwaga napoteza utimamu usipopokea simu yangu nafoka ahhh

Kama simenti ntagandana na wewe
Ni kama, kama siafu ntafatana na wewe
Safari ya milele nakupenda weeee 😍😍😍

Mapenzi 😭😭😭
Mambo ya abunuasi
 
Back
Top Bottom