Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

😂😂😂
Huyo huyo anayeanzia na N ndio nayemjua na sitaki kuelekezwa azawaizi 🤣
Ha haaa yule hata sura simjui huwezi amini. Wewe ukiona nabebishana na mtu wazi wazi ujue sipo serios. Mambo mazuri ni kimya kimya.
Yule mchumba sijui kapotelea wapi
 
Back
Top Bottom