Wewe ndio chanzo cha umasikini katika familia yenu

Basi tuongeze iwe miaka 45
 
Swali: [emoji117] mtoto anacha kuwa tegemezi kwa wazazi kwa asilimia kubwa akiwa ana miaka mingapi iwe wakike ama kiume .....hasa wakiume
 
Mada inalenga idadi ya watu ndio chanzo cha umasikini katika familia, kwa kufanya tathmini, iwapo mtu mmoja anaweza kutumia kiasi fulani, je ukiwa nao idadi fulani, gharama itakuwaje?
 
Swali: [emoji117] mtoto anacha kuwa tegemezi kwa wazazi kwa asilimia kubwa akiwa ana miaka mingapi iwe wakike ama kiume .....hasa wakiume
Kutokana na changamoto mbali mbali, wapo wanaoanza kujitegemea mapema, na pia wapo wanaochelewa kabisa kujitegemea
 
Mada inalenga idadi ya watu ndio chanzo cha umasikini katika familia, kwa kufanya tathmini, iwapo mtu mmoja anaweza kutumia kiasi fulani, je ukiwa nao idadi fulani, gharama itakuwaje?
Ndy ndo maana nakwambia ebu jalbu kuangalia baadhi ya familia pia,, lakin katika watu walio na kipato Cha chini haipendezi kabisa lakin Hilo swala sababu mtu anaingiz 10000 Bado na ww unasogea Tena Bado inakuwa haiko swa
 
Ata kule kijijini wangeamua kuthaminisha idadi ya watoto walionao, wangeona kuna sehemu wametumia nguvu kubwa kuliko angekuwa na watoto wachache.
 
Ninachojua watoto ama familia ni moja ya motivation ya kutafuta zaidi. Maana unajua usipotafuta familia itateseka na utaadhirika. Kama watoto ndio wanaotia umaskini mbona kuna watu wengi tu hawana watoto na siyo matajiri ama wanamtoto mmoja na hawajatoboa. Kwa familia za chini watoto ni sehemu ya ngivu kazi ya familia na ni uwekezaji pia. Japo siyo kila uwekezaji utakulipa
 

Si tulishakubaliana sisi hatulishi watu wazima!?

Hebu leta projects tugawane majukumu na pesa kaka
 
Ebu mueleze aelewe kabisa usiongee sana inatosha kaishaelew
 
Mtu unatakiwa uondoke kwa wazazi ukiwa na umri gani wakuu? Mimi huu mwaka wa 42 Ila bado nipo kwa mama na baba nadunda afu kula kulala bure( KKB)
Wewe ndio unawadidimiza zaidi, bila wewe si ajabu wangekuwa wanamiliki visima vya mafuta
 
Nani kakwambia watu wanataka maisha unayoyataka wewe? Wewe kwako masikini yupoje na Tajiri yupoje?
Sijui hapa Tanzania umehaliwa kuishi mikoa mingapi na wilaya zake.
Tuwe na viwanda vya kuuza bidhaa nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…