Wewe ndio chanzo cha umasikini katika familia yenu

Kama vipi wasingetuleta duniani. Watoto ni jukumu lako uliamua mwenyewe kuzaa.
Watoto wangu hawawezi kuwa chanzo cha umasikini wangu, ningetaka utajiri nisingewazaa.
Kwa mantiki hiyo, na wewe unaamua kabisa kuendeleza umasikini kwa kuongeza gharama za matumizi (watoto)
 
Mbna matajili Wana Mali za kutosha na hawana watoto na hao tuwaweke kweny kundi lipi jamani, kama mnasema umasikini unaletwa na watot
Kutokuwa na watoto (gharama) ndio kimewafanya wawe matajiri
 
Kwa mantiki hiyo, na wewe unaamua kabisa kuendeleza umasikini kwa kuongeza gharama za matumizi (watoto)
Wewe ndo una mtazamo huo.
Mimi kwangu watoto ni utajiri.

Tajiri na mali zake
Maskini na watoto wake.
 
Kwani ukifa, cha maana mtu anachoacha hapa duniani ni nini? Na anawaachia akina nani? Au unataka mali zako zirithiwe na watoto wa bamdogo?
 
Kwani ukifa, cha maana mtu anachoacha hapa duniani ni nini? Na anawaachia akina nani? Au unataka mali zako zirithiwe na watoto wa bamdogo?
Kuna ka formula, chagua watoto chagua mali; watoto wakiwa wengi mali chache, watoto wakiwa wachache mali nyingi; 1/y = x
 
Basi kama wanaona wanapata hasara wanirudishe walikonitoa, sikuwaomba nije huku duniani mimi.

Kwahiyo mimi ni wajibu wao mpaka umauti.
 
Sijasema uzae watoto wengi, bali mtu anapaswa kuzaa watoto anaowamudu..., na watoto wasiwe chanzo cha umasikini
Uko sahihi, swali ninalojiuliza, ukiingia forbes, utakuta matajiri wakubwa lakini utakuta ana mtoto mmoja au wawili; kwa nini inakuwa vile?
 
Nje ya mada

Wasomi wabongo ni waongo sana
Utasikia profesa anakufundisha,kijana nakufundisha ujuandae kujiajiri, kujiajiri kutakufanya uwe huru, wakati huohuo yeye kaajiriwa unamuangalia unajiuliza Ina maana huyu hapendi uhuru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…