Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #121
😀😀😀Mtu maskini akileta mtoto duniani ana ongeza maskini mwingine duniani.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Mtu maskini akileta mtoto duniani ana ongeza maskini mwingine duniani.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wasingetotoa watoto wengi, na hizo nguvu wakawekeza kwenye uzalishaji, umasikini tungeusikia kwa mbaliMwa hesabu hio basi wazazi wa Tza ni matajiri sana
Hesabu hizi bia ya 10 na kisunguraKatika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa sababu gharama zilizotumia kukuza au kukulea wewe, ni gharama kubwa ambazo wazazi wako wangewekeza kwenye ujenzi wa viwanda, tungekuwa na bidhaa nyingi huko nje ya nchi na tungepata fedha za kigeni.
Mfano:-
Chukulia kwa siku unatumia 10,000/=
Mwaka una siku 365
Kukaa kwa wazazi mpaka kujitegemea, chukulia miaka 30
Fedha/nguvu zilizotumika kwa wazazi = 10,000 x siku 365 x miaka 30
=109, 500,000/=
Hii ina maana, mtu mmoja mpaka aje aondoke kwa wazazi wake, atakuwa ametumia kiasi kisichopungua Tsh. 109,500, 000/=
Kama mmezaliwa saba (7), ina maana wazazi wenu mmewabebesha mzigo wenye thamani ya Tsh. 766,500,000/=; kwa hiyo kama wanaishi kwenye mazingira mabovu, kaa ukijua, chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Ndio maana matajiri hawazai watoto wengi, sio kwamba wana akili sana, bali wanaepuka gharama hizo nilizoziainisha hapo juu.
Kwa hiyo, usiwalaumu wazazi wako, kwa sababu chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Karibuni kwa hoja.
Ebu tupe hesabu za kimirindaHesabu hizi bia ya 10 na kisungura
K1 kichwani. Tunachosha u bongo
ama kweliOyaaah pombe so sigaraaaa [emoji445][emoji445][emoji445]
Chino wanna man. Dududuu [emoji445]
Ebu tupe ushuhudaama kweli
Mtoa mada uko sahii Sana[emoji848]Katika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa sababu gharama zilizotumia kukuza au kukulea wewe, ni gharama kubwa ambazo wazazi wako wangewekeza kwenye ujenzi wa viwanda, tungekuwa na bidhaa nyingi huko nje ya nchi na tungepata fedha za kigeni.
Mfano:-
Chukulia kwa siku unatumia 10,000/=
Mwaka una siku 365
Kukaa kwa wazazi mpaka kujitegemea, chukulia miaka 30
Fedha/nguvu zilizotumika kwa wazazi = 10,000 x siku 365 x miaka 30
=109, 500,000/=
Hii ina maana, mtu mmoja mpaka aje aondoke kwa wazazi wake, atakuwa ametumia kiasi kisichopungua Tsh. 109,500, 000/=
Kama mmezaliwa saba (7), ina maana wazazi wenu mmewabebesha mzigo wenye thamani ya Tsh. 766,500,000/=; kwa hiyo kama wanaishi kwenye mazingira mabovu, kaa ukijua, chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Ndio maana matajiri hawazai watoto wengi, sio kwamba wana akili sana, bali wanaepuka gharama hizo nilizoziainisha hapo juu.
Kwa hiyo, usiwalaumu wazazi wako, kwa sababu chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Karibuni kwa hoja.
Na ni kweli Utajiri na umaskini na hata lolote lile katika maisha ni utafsiri binafsi,,Maisha ni utafsiri binafsi wa kila kilicho kwenye maisha,,na kama kila kilicho kwenye maisha kina tafsiri yake kwa ubinafsi wake!!Labda kama unatafsiri zako binafsi. Angalia kwenye kamusi maana ya umaskini ama poverty kwenye dictionary
Mada inasemaje?Naomba kujua utajiri wa wazazi wako
Wewe hukai kwenu ulihama mapema sana INA maana wazazi wako hujawapa mzigo wazazi wako kwahiyo wao ni matajiri? Sasa kwa kiasi gani?Mada inasemaje?
Isee, hakuna mzazi anaetumia liten Kila siku Kwa ajili ya mwanae, jifunze kusoma vitabuKatika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa sababu gharama zilizotumia kukuza au kukulea wewe, ni gharama kubwa ambazo wazazi wako wangewekeza kwenye ujenzi wa viwanda, tungekuwa na bidhaa nyingi huko nje ya nchi na tungepata fedha za kigeni.
Mfano:-
Chukulia kwa siku unatumia 10,000/=
Mwaka una siku 365
Kukaa kwa wazazi mpaka kujitegemea, chukulia miaka 30
Fedha/nguvu zilizotumika kwa wazazi = 10,000 x siku 365 x miaka 30
=109, 500,000/=
Hii ina maana, mtu mmoja mpaka aje aondoke kwa wazazi wake, atakuwa ametumia kiasi kisichopungua Tsh. 109,500, 000/=
Kama mmezaliwa saba (7), ina maana wazazi wenu mmewabebesha mzigo wenye thamani ya Tsh. 766,500,000/=; kwa hiyo kama wanaishi kwenye mazingira mabovu, kaa ukijua, chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Ndio maana matajiri hawazai watoto wengi, sio kwamba wana akili sana, bali wanaepuka gharama hizo nilizoziainisha hapo juu.
Kwa hiyo, usiwalaumu wazazi wako, kwa sababu chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Karibuni kwa hoja.
Je, unakubaliana na mada?Wewe hukai kwenu ulihama mapema sana INA maana wazazi wako hujawapa mzigo wazazi wako kwahiyo wao ni matajiri? Sasa kwa kiasi gani?
Ada, matibabu, malazi, mavazi, usafiri, chakula n.kIsee, hakuna mzazi anaetumia liten Kila siku Kwa ajili ya mwanae, jifunze kusoma vitabu
Unafaa kua mwalimu mzuri[emoji4][emoji106]Hahahaha mkuu unajitoa ufahamu kama ambavyo wizara ya afya inafanyaga hitimisho la kijinga kabisa la kushawishi masikini kuzaa watoto wachache kwa mpangilio bila kujua hili ni suala la kisaikologia na kijamii zaidi, kuliko linavyoonekana kwa nje.
Je, unafahamu kwanini watu ama wanayama wanatengeneza familia?
1. Tunatengeneza familia kama kiashiria cha kukua na kumiliki. Ndio maana hata mtu awe na mali kiasi gani kama hana familia anaonekana muhuni aliyefanikiwa.
2. Familia ni nguvu kazi hasa kwa watu masikini. Vitu vingi ambavyo ungeajiri watu wakusaidie ama wakufanyie basi utasaidiwa na wanafamilia.
3. Familia ni back up yako pale utakapokuwa umezeeka ama lolote kukutokea ambalo litasababisha usiwe na uwezo wa kutafuta.
Kwanini matajiri wanazaa watoto wachche
1. Matajiri wanaona mali zao ni kielelezo tosha cha kuonyesha mafanikio na umiliki wao. Wakati kwa masikini familia nzuri na bora ni kielelezo cha mafanikio na umiliki.
2. Kwa matajiri watoto siyo nguvu kazi bali pesa zao. Kwa masikini watoto ni nguvu kazi ya familia.
3. Kwao watoto siyo back up bali investments zao. Kwa masikini watoto ndio back up. Na wanajitahidi kuzaa wengi maana haujui yupi atafanikiwa na yupi hatofanikiwa.
Hivyo kisaikolojia sababu za tajiri kuwa na watoto hazina nguvu kama sababu alizonazo masikini. Hivyo matajiri wengi wanakuwa na watoto sababu ya kutafuta loyalty na successor wao wa kuendeleza legacy zao. Na si vinginevyo
N.B ndio maana hata vijijini siku hz watu wamepunguza kuzaa kwasababu sababu na uhitaji wa kuzaa watoto wengi umepungua. Wasomi wanahisi ni sababu ya Elimu la hasha ni sababu sana na uhitaji kupungua
Bila shaka nimekufafanulia kwa lugha rahisi sana
Anapambana kupangua hoja huku akijua ukweli ulipo 😀 😀Unafaa kua mwalimu mzuri[emoji4][emoji106]
Wee jamaa unamwaga madini sana[emoji4][emoji106]Masikini na tajiri wanafikra na saikolojia ambazo zinakinzana hivyo usiwalinganishe wao bali linganisha fikra na saikolojia zao.
1. Kwa masikini familia ndio Hamasa ya kutafuta zaidi. Kwa tajiri kupata zaidi ndio Hamasa
2. Na masikini yuko proud na mafanikio ya mtoto wake kuliko hata mafanikio yake binafsi. Kwasababu masikini anawekeza ndoto zake kwa mtoto. Ndio maana wazazi masikini huwa ni wakali zaidi kwa watoto kwa sababu kupotea kwa mtoto ni kupotea kwa ndoto za mzazi na mtoto pia.
Kwa tajiri ni kinyume chake
Mkuu kwa facts nilizokupa kama bado haujanielewa basi baki na uelewa wako
Sometimes for you to understand easily, you need to unlearn the old concept before learning a new concept
Kama ni hivyo basi umasikin wa wazazi wengi upo kwenye maamzi yao wenyewe.Katika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa sababu gharama zilizotumia kukuza au kukulea wewe, ni gharama kubwa ambazo wazazi wako wangewekeza kwenye ujenzi wa viwanda, tungekuwa na bidhaa nyingi huko nje ya nchi na tungepata fedha za kigeni.
Mfano:-
Chukulia kwa siku unatumia 10,000/=
Mwaka una siku 365
Kukaa kwa wazazi mpaka kujitegemea, chukulia miaka 30
Fedha/nguvu zilizotumika kwa wazazi = 10,000 x siku 365 x miaka 30
=109, 500,000/=
Hii ina maana, mtu mmoja mpaka aje aondoke kwa wazazi wake, atakuwa ametumia kiasi kisichopungua Tsh. 109,500, 000/=
Kama mmezaliwa saba (7), ina maana wazazi wenu mmewabebesha mzigo wenye thamani ya Tsh. 766,500,000/=; kwa hiyo kama wanaishi kwenye mazingira mabovu, kaa ukijua, chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Ndio maana matajiri hawazai watoto wengi, sio kwamba wana akili sana, bali wanaepuka gharama hizo nilizoziainisha hapo juu.
Kwa hiyo, usiwalaumu wazazi wako, kwa sababu chanzo chao cha umasikini ni wewe.
KaribunKatika familia, gharama hazipo kwenye kuzaa tu; bali gharama zipo kwenye malezi.
Na kwa mazingira ya sasa, unaweza kuta kijana ana miaka zaidi ya 30, lakini bado anaishi kwao, huku akiendelea kuwapa mzigo mzito wazazi wake.
Kwa nini nasema wewe ndio chanzo cha umasikini wa kwenu; ni kwa sababu gharama zilizotumia kukuza au kukulea wewe, ni gharama kubwa ambazo wazazi wako wangewekeza kwenye ujenzi wa viwanda, tungekuwa na bidhaa nyingi huko nje ya nchi na tungepata fedha za kigeni.
Mfano:-
Chukulia kwa siku unatumia 10,000/=
Mwaka una siku 365
Kukaa kwa wazazi mpaka kujitegemea, chukulia miaka 30
Fedha/nguvu zilizotumika kwa wazazi = 10,000 x siku 365 x miaka 30
=109, 500,000/=
Hii ina maana, mtu mmoja mpaka aje aondoke kwa wazazi wake, atakuwa ametumia kiasi kisichopungua Tsh. 109,500, 000/=
Kama mmezaliwa saba (7), ina maana wazazi wenu mmewabebesha mzigo wenye thamani ya Tsh. 766,500,000/=; kwa hiyo kama wanaishi kwenye mazingira mabovu, kaa ukijua, chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Ndio maana matajiri hawazai watoto wengi, sio kwamba wana akili sana, bali wanaepuka gharama hizo nilizoziainisha hapo juu.
Kwa hiyo, usiwalaumu wazazi wako, kwa sababu chanzo chao cha umasikini ni wewe.
Karibuni kwa hoja.