NAHAL
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,670
- 3,281
Kuwa maskini,,,Iwe kupunguza umaskini au kuongeza umaskini ni zaidi ya hesabu,,Umaskini,,Utajiri ni Maneno mapana na yanahitaji uchambuzi wa kina ili kuyafafanua kwa ufasaha zaidi kwa kushirikisha fikra nyingine kutoka kwa wengine!!Maisha ni ukamilifu na sidhani kama kuna kilicho na ukamilifu katika ulimwengu huu,,Kwa waliopita,,Wasasa na Wajao pia!!Kwa mazingira hayo, tayari unaongeza umasikini