Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

Uhalisia mdogo katika mengi,ama nikuambie kua uyaone mwanangu ama nikuambie,msela hafugi paka,ama ni kuambie kila mtu na hamsini zake,ama wewe ni familia changa tena mboga Saba changamoto bado,ama mtoto wa baba na mama ukilia ng'aa umesikilizwa na kuwezeshwa ulipo kwama🤔
 
Hata wewe pia inaoneka ni masikini matajiri huwa hawana muda wakuzungumzia maisha ya watu masikini matajiri ni watu wa mipango na kula starehe sijawahi kuona tajiri anajadili maisha ya mtu anayepitia msoto
 
Mleta mada ni kutaka kuwafikilisha watu washtuke!
 
Mkuu kizazi chako cha tatu nikimaanisha vitukuu vyako wana uwezo wa kuishi maisha yao yote bila kugusa fedha za baba zao? Kama jibu ni ndio basi hongera...ila kama sio wewe ni mwenzetu
 
9. Ya uongo
 
Si kila Mtu ni limbukeni wa usafiri binafsi, kuna Jamaa ana nyumba za kisasa 6 za kupangisha ila hutumia usafiri wa uma 70%.
Kamwe sijawahi na sitathubutu kutumia simu za iphone au Samsung smartphones sababu sizipendi japo nishatumia TV & friji za Samsung.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Pole sana mkuu! Ni mapito tu!
 
Third generation...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…