Maisha ni popote.nagongelea na sumari la jahazi ngo ngo ngoππ¨
nashukuru siishi ukimani bongo
Wewe kibongo bongo unamuona kawazidi, haya kwenye chart ya USA yuko nafasi ya ngapi? π€£π€£π€£AiseeππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ Evelynsalt BIBI YANGU nampendajeπ€£!?
We lamomy muhaπππ na waha wabishi kama wewe.
Hivi unajua kuna watu wapo Tanzania wana pesa kuliko walio USA!?
Yani Rostam Aziz mwenye mabilion awe masikiniππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππ!?
Najua unatania wacha nikuache.
Anaingia amongst millionaires.Wewe kibongo bongo unamuona kawazidi, haya kwenye chart ya USA yuko nafasi ya ngapi? π€£π€£π€£
Wee uliziona?? Chanzo chake cha hizo pesa tutajie? πππAnaingia amongst millionaires.
Hata akiwa wa 200 ila anaingia miongoni mwa mamilionea.
Maana ana dola milioni 900.
Je ndogo hizo?
Rihanna mpaka leo dola milion 100 tu hajafikisha.
Heeee!Wee uliziona?? Chanzo chake cha hizo pesa tutajie? πππ
Za maskini mwenzetu wa bongo πHeeee!
ππPesa za Rihanna au Rostam Aziz?
Asset anazomiliki,miradi ya fedha aliyoanzisha na vyombo husika vya kifedha vya nje na ndani ndivyo vimetoa ripoti.Za maskini mwenzetu wa bongo π
Bado km anaishi bongo ni MASKINI π€£Asset anazomiliki,miradi ya fedha aliyoanzisha na vyombo husika vya kifedha vya nje na ndani ndivyo vimetoa ripoti.
Rostam Azizi mwaka jana Kenya kaanzisha mradi wa gesi wa dola milioni 200.
Lamomy shikamoo shikamoo na tena.Bado km anaishi bongo ni MASKINI π€£
πππ ndioLamomy shikamoo shikamoo na tena.
Kwahiyo hata kama kampita Pdidy anayeishi USA bado maskini kisa anaishi Bongo!?
ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Hiki kipimo nacho kifanyiwe marekebisho, dola 1 ni shiling 2500 sasa hapo utaishi nayo vipi kwa siku? itakua sahihi zaidi tukisema masikini ni anaeishi chini ya angalao dola 2 kwa sikuKama unaishi chini ya dola moja kwa siku wewe ni masikini
Kuna mtu kupata hata hiyo 2000 ni kaziHiki kipimo nacho kifanyiwe marekebisho, dola 1 ni shiling 2500 sasa hapo utaishi nayo vipi kwa siku? itakua sahihi zaidi tukisema masikini ni anaeishi chini ya angalao dola 2 kwa siku
Sasa uwe na dinar kiwango chochote utazitumia kununua nini zaidi ya mafuta ili hali mafuta nchi nyingi wanayo! Ukiwa na dollars unakuwa juu ya dunia kila mahali utalambwa miguu! Mwenye dollars si mwenzako!Anaingia amongst millionaires.
Hata akiwa wa 200 ila anaingia miongoni mwa mamilionea.
Maana ana dola milioni 900.
Je ndogo hizo?
Rihanna mpaka leo dola milion 100 tu hajafikisha.
Ukisema hivyo basi matajiri wapo uarabuni tu.
Maana Kuwait kuna watu wana Bilions kuwait dinar.
Na ili uwe na kuwait dinar 1 itabidi uwe na kama dola mbili unusu.
Inamaana Musk kwa waarabu ni mchumba tu.
Ndio atiii! Ona uzi unavyotembea??Mtoa mada hapo kwa shemji yako umekula umeshiba ukaona umewazaa kitu cha maana.
Wapi nimemfokea mtu? Ina maana kati ya vipengele 10 tu, hakuna hata kimoja ulichokiponyoka? Vyote vimekupa za uso? πππ
Hizo fikra zako mbona ni za kimasikini tena umaskini uliokithiri.Wapi nimemfokea mtu? Ina maana kati ya vipengele 10 tu, hakuna hata kimoja ulichokiponyoka? Vyote vimekupa za uso? πππ